Njama za Mapinduzi ya kijeshi zatibuka ktk taifa jirani

Njama za Mapinduzi ya kijeshi zatibuka ktk taifa jirani

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.

Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.

Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.

Sijataja nchi wala Rais husika.
 
Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.

Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.

Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.

Sijataja nchi wala Rais husika.
Mkuu

Niguse ninuke ni chachu ya hilo!!?

Maana yule alikua mbobevu kwenye masuala ya kimataifa SASA sijui kama kahusika japo kalala milele!!?

Huyo mzee unaemtaja labda ni paka !!!


!
 
wanasema ni Paulo Kagame {PAKA}
Screenshot_20230607_172343_Telegram.jpg
 
Back
Top Bottom