Njama za Mapinduzi ya kijeshi zatibuka ktk taifa jirani

Njama za Mapinduzi ya kijeshi zatibuka ktk taifa jirani

Kutoka kituo A cha kazi kwenda kituo B au C au kutoka mkoa A kwenda mkoa G
Sidhani maana ni kama vile kulikuwa na fununu za kuji organize kwa ajili ya mapinduzi,

Hao aliowaondosha usije shangaa kama hajaondoka mmoja baada ya mwingine bas wataishia jera.
 
Nasikia ukiacha hao top commanders Kuna wanajeshi wengine wa kawaida wametumuliwa jeshini idadi jumla 244, huwez fukuza wanajeshi wengi kiasi hicho ukabaki salama huyu Kagame siku zake zinahesabika.
Kwa kuwa wapo ndani ya Rwanda na jamaa ana mizizi mikubwa ya kumzunguka, sio rahisi sana hao 200 kumzingua. Anaweza pia akawaminya hata 30 ili kuzima mipango yoyote inayotaka kuibuka.
 
Kutoka kituo A cha kazi kwenda kituo B au C au kutoka mkoa A kwenda mkoa G
Kuna harufu ya mapinduzi na hao sidhani kama bado wapo kama sio jela basi shaba
Usicheze na mjeda maana kazi yake ni kuua tu au kuuwawa

Paka ametonywa mapema ana bahati ila sasa atawashughulikia haswa
Wengi watakimbia porini wakajipange upya
 
Ila Kuna watu Wana roho ngumu Sana!! Yan pamoja na ukatili wa kagame Bado wanataka kumpingua!?Sasa sinatawaua!?
 
Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.

Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.

Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.

Sijataja nchi wala Rais husika.
huyo hata sisi Tanzania ilitakiwa tuwaunge mkono wanaotaka kumpindua.
 
Hiv na warwanda pia wanamuona dictator kama sisi watz tunavomuona.naona jamaa anaendesha nchi fresh
 
Hao tayari washa kua Neutralised hamna cha kupangiwa majukumu wala nini wako chimbo tayari
 
Hao tayari washa kua Neutralised hamna cha kupangiwa majukumu wala nini wako chimbo tayari
wengine wanasema, ni njama tu, amewatoa ili wajifanye wameenda pori la congo kufanya uasi na kagame awape silaha wasaidie M23 kupora eastern congo ili ijitangaze taifa na baadaye watangaze kujiunga na rwanda na rwanda atawapokea kwa mikono miwili na nchi yake itakuwa imeongezeka ukubwa wasikake kama nguchiro vile wazo alilokuwa nalo tangu kabila senior alipokuwa msituni wakaingia naye mkataba na alipowaruka yeye akafanya mpango auawe na kabila mtoto wa kufikia.
 
wengine wanasema, ni njama tu, amewatoa ili wajifanye wameenda pori la congo kufanya uasi na kagame awape silaha wasaidie M23 kupora eastern congo ili ijitangaze taifa na baadaye watangaze kujiunga na rwanda na rwanda atawapokea kwa mikono miwili na nchi yake itakuwa imeongezeka ukubwa wasikake kama nguchiro vile wazo alilokuwa nalo tangu kabila senior alipokuwa msituni wakaingia naye mkataba na alipowaruka yeye akafanya mpango auawe na kabila mtoto wa kufikia.
Hashindwi kufanya hivyo
 
Mko busy na majungu ya slim lazima aondoke huku nchi yenu inauzwa mchana kweupe
 
Back
Top Bottom