Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nahisi ungq umezidi maji hukoThe beginning of an end for giraffe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi ungq umezidi maji hukoThe beginning of an end for giraffe?
Kaleta mafumbo umeamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi😀😀😀
Let's be careful with this person, this is propaganda brought to stop discussing the hundred years of our Port agreement.Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.
Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.
Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.
Sijataja nchi wala Rais husika.
Mkuu
Niguse ninuke ni chachu ya hilo!!?
Fuatilia vyombo vya habariLet's be careful with this person, this is propaganda brought to stop discussing the hundred years of our Port agreement.
Lazima aweke watu wake vinginevyo lazima wamtoe yeye na familia yote kama kule AngolaSiku zake zinahesabika hao aliowatimua wana ushawishi mkubwa sana kwenye jeshi
Mzee ukimcheki hali yake ya afya ishakuwa mbaya naona wanataka wampindue sasa.
Acha tuone hii sinema itaishaje
Wanapanga kumtoa je washafikiria kuhusu mrithi wake sahihi , je wanamuimin vp kuwa atawapeleka zaid ya pale alipo waacha Ngongoti?Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.
Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.
Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.
Sijataja nchi wala Rais husika.
Hapa kachemka!! Kwa kuwa hawa 244 hawana kazi nahisi wanaweza kujiajiri.....! Imekaa kushoto hivi!Nasikia ukiacha hao top commanders Kuna wanajeshi wengine wa kawaida wametumuliwa jeshini idadi jumla 244, huwez fukuza wanajeshi wengi kiasi hicho ukabaki salama huyu Kagame siku zake zinahesabika.
Kwa udogo wa akili yako. Wenye akili kubwa hupitia uzi kwa kina ili wajue nini kilitokea, nini kinatokea na nini kitatokea.Administration futa hii post imekaa kama stori za kwenye kahawa
Wadanganyika tunalia machozi ya damu. Hata ukiomba Mungu haisaidii. Tukemee huu uporaji wa rasilimali na maliasili ya Danganyika kwa guvu moja..Hangalau kafanya la maana sisi huku nchi nzima inauzwa
Kama ni ile nchi ndogo ya maziwa makuu hilo halishangazi, huenda pia ni reshuffle ya kawaida tu.Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.
Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.
Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.
Sijataja nchi wala Rais husika.
P.kIntelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.
Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.
Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.
Sijataja nchi wala Rais husika.
Wamefukuzwa kazi au wamebadilishiwa majukumuNasikia ukiacha hao top commanders Kuna wanajeshi wengine wa kawaida wametumuliwa jeshini idadi jumla 244, huwez fukuza wanajeshi wengi kiasi hicho ukabaki salama huyu Kagame siku zake zinahesabika.
Jamaa nae pk anajidhalilisha sana! yaani unakaa madarakani HADI miguu inagoma kutembea!!!
Wanajeshi 244 unawabadilishia majukumu kuwapeleka wapi?Wamefukuzwa kazi au wamebadilishiwa majukumu
Kutoka kituo A cha kazi kwenda kituo B au C au kutoka mkoa A kwenda mkoa GWanajeshi 244 unawabadilishia majukumu kuwapeleka wapi?