Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Sidhani maana ni kama vile kulikuwa na fununu za kuji organize kwa ajili ya mapinduzi,Kutoka kituo A cha kazi kwenda kituo B au C au kutoka mkoa A kwenda mkoa G
Km kwel amenusa harufu ya usalitSidhani maana ni kama vile kulikuwa na fununu za kuji organize kwa ajili ya mapinduzi,
Hao aliowaondosha usije shangaa kama hajaondoka mmoja baada ya mwingine bas wataishia jera.
Kuondolewa vitengo nyeti na kurudishwa zamu ya lindo.Wanajeshi 244 unawabadilishia majukumu kuwapeleka wapi?
Kwa kuwa wapo ndani ya Rwanda na jamaa ana mizizi mikubwa ya kumzunguka, sio rahisi sana hao 200 kumzingua. Anaweza pia akawaminya hata 30 ili kuzima mipango yoyote inayotaka kuibuka.Nasikia ukiacha hao top commanders Kuna wanajeshi wengine wa kawaida wametumuliwa jeshini idadi jumla 244, huwez fukuza wanajeshi wengi kiasi hicho ukabaki salama huyu Kagame siku zake zinahesabika.
Kuna harufu ya mapinduzi na hao sidhani kama bado wapo kama sio jela basi shabaKutoka kituo A cha kazi kwenda kituo B au C au kutoka mkoa A kwenda mkoa G
huyo hata sisi Tanzania ilitakiwa tuwaunge mkono wanaotaka kumpindua.Intelligence kali ya Taifa jirani zamnusuru Rais mupinduliwa. Ilikuwa apinduliwe 15/6/2023. Bahati yake ni kuwa na intelligence kali kila idara ya utumishi wa Umma.
Sasa mzee analisuka jesjhi lake upya. Mataifa mawili jirani yatajwa kushirikiana na maafisa wa jeshi watiifu kwa mzee kuhitimisha Enzi yake.
Je atasalimika ikizingatiwa jeshi lake Sasa limegawanyika vipande vitatu? Moja watiifu, pili wasiomtii na tatu neutral yaani lolote sawa tu.
Sijataja nchi wala Rais husika.
huyo hata sisi Tanzania ilitakiwa tuwaunge mkono wanaotaka kumpindua.
amewaonea wacongo kwa miaka mingi na anamwaga damu nyingi kwa maslahi yake binafsi.Kwann tufanye ivo
wengine wanasema, ni njama tu, amewatoa ili wajifanye wameenda pori la congo kufanya uasi na kagame awape silaha wasaidie M23 kupora eastern congo ili ijitangaze taifa na baadaye watangaze kujiunga na rwanda na rwanda atawapokea kwa mikono miwili na nchi yake itakuwa imeongezeka ukubwa wasikake kama nguchiro vile wazo alilokuwa nalo tangu kabila senior alipokuwa msituni wakaingia naye mkataba na alipowaruka yeye akafanya mpango auawe na kabila mtoto wa kufikia.Hao tayari washa kua Neutralised hamna cha kupangiwa majukumu wala nini wako chimbo tayari
Nasikia ana kansa ya ubongo, kinachomsaidia kusukuma muda ni vidonge.Atakufa kifo kibaya sn yule mzee
Hashindwi kufanya hivyowengine wanasema, ni njama tu, amewatoa ili wajifanye wameenda pori la congo kufanya uasi na kagame awape silaha wasaidie M23 kupora eastern congo ili ijitangaze taifa na baadaye watangaze kujiunga na rwanda na rwanda atawapokea kwa mikono miwili na nchi yake itakuwa imeongezeka ukubwa wasikake kama nguchiro vile wazo alilokuwa nalo tangu kabila senior alipokuwa msituni wakaingia naye mkataba na alipowaruka yeye akafanya mpango auawe na kabila mtoto wa kufikia.
dua la kukuNasikia ana kansa ya ubongo, kinachomsaidia kusukuma muda ni vidonge.
Taifa lenye kikongwe linafahamika tunashukuru kwa taarifaSijataja nchi wala Rais husika.