Njama za Yanga kuharibu mechi za Simba

punguza wenge
 
Utelembwe akili zao zipo chini ya nyayo za MO walihadaa CHAMA CHA DEMOKRASIA na MAENDELEO kasaini kandarasi kumbe ndio walikuwa wanambembeleza!!
 
Kwani kwenye Ligi ni Timu gani ambayo haijawahi kufungwa mpaka mzunguko wa kwanza ulipoisha? Simba au Yanga
Kufungwa goli au kupoteza mechi? Kama ni kupoteza mechi, Simba na Azam si tu kwamba zilimaliza mzunguko wa kwanza, bali zilishawahi kumaliza ligi msimu mzima bila kupoteza mechi. Kwa Ligi Kuu Bara ni timu hizo mbili tu
 
Mbele Uweke striker wawili afu nyuma una mzee onyango,opponent wako ana Tuisila na saidoo, si unatafuta majanga tu [emoji1787][emoji1787]
Tuisila na Saido hawahawa wanaopambania sare na Prisons au kuna wengine wanakuja?
 
Yanga ndiyo wamewapeleka huku? Acha umbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…