Nje ya box: Verse 1 (Nikki wa Pili)

Nje ya box: Verse 1 (Nikki wa Pili)

Verified

Senior Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
117
Reaction score
377
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa Bakhresa
asinipende mimi apende Verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa

Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa

Demu wa shida na raha na misoto sana, Huyo demu hanifai changamoto hana, ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo

Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu

Sitaki demu wa Kitanga jioni moja kanga, tayari amejipanga kwa mabusu mangapi

Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi
 
Mungu nijalie demu mpenda pesa
Kila siku nipigane kuwa Bakhresa
asinipende mimi apende Verosa
Wanaomegewa wengi ndio kitu wamekosa

Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa

Demu wa shida na raha na misoto sana, Huyo demu hanifai changamoto hana, ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa kigogo

Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda changu

Sitaki demu wa Kitanga jioni moja kanga, tayari amejipanga kwa mabusu mangapi

Demu nayemtaka Manka wa kichaga jioni anaulizaga umeingiza shingapi
😅😅Mwamba alijitabiria kukegewa,nasemajeee nikisoni tafuta hela 😅😅😅
 
Wivu tuu hiyo Sanaaa sio kwamba ndio life mtu anaishi au sio acha ufitinishaji
 
Back
Top Bottom