Nje ya mapenzi Diamond anaweza nini?

Nje ya mapenzi Diamond anaweza nini?

Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.

Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini
Diamond ni mwanamuziki,ni mfanyabiashara,
MTU ambaye aliweza kutoa millioni 70,kusaidia wasiojiweza,unauliza anaweza nini?
Waulizie wasomi wenye Shahada zao,wanaweza nini?mbali na kuongea kiswaenglish!
Wewe mwenyewe unaweza nini?
Diamond,kijana mwwnye elimu ya darasa LA saba,Leo ni mwanamuziki tajiri,anamiriki kampuni,ambayo imeajiri wenye shahada kibao!unauliza anaweza nini?ameweza kutumia kipaji chake kutengeneza pesa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya mapenzi, jamaa anauwezo wa kukulisha milo mitatu wewe na familia yako nzima kuanzia sasa mpaka mtaporudisha namba kwa mungu baba!
 
I do not endorse diamond in any way, ila mwanaume kumdiscuss mwanaume mwenzio ni dalili mbaya sana. Stop this, get help.

Sent using Boeing 737-MAX 8
 
Wewe ukitoa kila kitu wafanya una kingine kipi cha maana
Akili ya mtu ama mind hutambulishwa zaidi na matendo ama maamuzi ya mtu katika masuala mbalimbali. Na katika tabia na mienendo ya matamanio mtu akizama zaidi huwa mlevi na huenda akawa ameathiriwa na tabia hizo ama addict. Tokea nimeanza kuzisikia nyimbo za huyu anaitwa kila siku najiuliza kichwani make kuna nini cha ziada? Uwezo wake wa kufikilia na kuamua.

Na hili ni tatizo la malezi, makuzi ama nini? Tatizo ni ukosefu wa elimu ama ni nini hasa, kinachlkela zaidi ni aina ya maneno ama lugha katika nyimbo zake, yote inagusia tendo la ndoa, namwona mtu alive addicted kama wabwia unga na pombe. Hakika naye anahitaji msaada wa haraka, aelimishwe maisha ni nini na kuwa msanii ni nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom