Nje ya pesa ya kuishia hatua flani, caf huwa wanatoa pesa za maandalizi, malazi na kujikimu kwa timu ambazo zinasonga mbele ?

Nje ya pesa ya kuishia hatua flani, caf huwa wanatoa pesa za maandalizi, malazi na kujikimu kwa timu ambazo zinasonga mbele ?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
timu inapotolewa katika hatua fulani, ndiyo hupatiwa pesa iwe ni makundi, robo fainali, nusu fainali ama hadi imalize fainali.

timu ikiishia makundi inapewa pesa, wanaosonga mbele robo fainali hawapewi

timu ikiishia robo fainali inapewa pesa, wanaosonga mbele nusu fainali hawapewi

timu ikiishia nusu fainali inapewa pesa, wanaosonga mbele fainali hawapewi mpaka wamalize fainali.

Yaani mfano Yanga kwa sasa ina uwezo wa kupewa hela ya mshindi wa kwanza, au wa pili mpaka fainali imalizie. Ila siyo hela za makundi, robo fainali, na nusu fainali.

Sasa nauliza, je kuna pesa huwa caf wanazipa team zinazosonga mbele kwajili ya maandalizi, usafiri, malazi, n.k ?
 
Hapana hawatoi ndo maana biashara United walishindwa kusafiri kwenda sudan kucheza mechi yao ya shirikisho
ili kuanza kulipwa, sifa ya chini kabisa ni lazima uingie kwenye makundi, Biashara walikuwa hawajaingia hata kwenye makundi.

sasa najiuliza, timu zikiweza kuingia kwenye makundi kama huwa kuna pesa zingine wanapewa tofauti na hizo za kusubiri kuishia stage flani.
 
ili kuanza kulipwa, sifa ya chini kabisa ni lazima uingie kwenye makundi, Biashara walikuwa hawajaingia hata kwenye makundi.

sasa najiuliza, timu zikiweza kuingia kwenye makundi kama huwa kuna pesa zingine wanapewa tofauti na hizo za kusubiri kuishia stage flani.
hawapewi mkuu,
 
Back
Top Bottom