Njegere nyama Wali

Khaaaa
We ni mzembe itakuwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Umeshindwa wapi??
Nimeweka njegere na maji nusu saa naona haziivi nikasema potelea mbali nikachanganya nyanya humo humo kitunguu nafunika kama nusu saa kufunua sielewi ni nn nikashusha chini nikamwaga nikaenda kununua chips nikalala

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru sana boss

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Kitunguu swaumu na tangawizi
Napenda nivikute kwenye maharage / kande 😋
 
Nusu saa ni dogo
Basi nunua pressure cooker uwe unapika kwa muda mfupi
 
What the fuc*k!

Wali nao unaweka ma-vitunguu maji, ma-vitunguu swaumu, ma-tangawizi, ma-karoti?

What the hell is this?
 
What the fuc*k!

Wali nao unaweka ma-vitunguu maji, ma-vitunguu swaumu, ma-tangawizi, ma-karoti?

What the hell is this?
🤣🤣🤣🤣 itakuwa amecopy google

Ila wali kitunguu maji unaweka, na uwa unanukia hatari
 
Usisahau nazi au peanuts butter kwenye njegere kama utaziunga.

#MaendeleoHayanaChama
 
What the fuc*k!

Wali nao unaweka ma-vitunguu maji, ma-vitunguu swaumu, ma-tangawizi, ma-karoti?

What the hell is this?
😂😂🤣🤣🤣🤣 Mchele ni kama ngano una namna nyingi ya upishi.
Ila hapo kwenye kitunguu swaum na tangawizi umeongezea ww mm sijaviweka Rudi usome vizuri
 
Hapana bana, comment yako sikuiona mie.
Yule aliposema umeweka na vitunguu saumu na tangawizi we unadhani mchezo? 🤣🤣🤣

Kuna wali wa kuchemsha
Kusteam
Wali wa kitunguu
Wali maua…
Yeye ndio alikosea kusoma ila hvyo unaweka kwenye nyama sio wali labda kama unapika pilau ndio utavitumia
Si unaona👆👆 yeye ndio alichanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…