Njemba zinapotwangana kwa penzi la baamedi!

Njemba zinapotwangana kwa penzi la baamedi!

Kazi kweli kweli,Chrispin kama haya unayoyaandika ndo unayoyaishi kazi ipo.

Hata wewe nawe unanitilia mashaka? Ni nani atakayebaki kuniamini kama anavyoniamini mama mtoto wangu?
 
tena mie ntabisha sana tuu, heshima muhimu nyumbani lakini sio kitandani! umenipata? mie hata niletewe style gani culizi umeipatia wapi wala kimepanda kimeshuka, na yeye vile vile.....ni moja tu hiyo mnayoizungumziaga ndio nyumbani kwangu marufuku milele.....

Laiti ungekuwa mamsapu wangu, haya mastaili niliyoyanyaka kwa vishosti ningeyafanyia praktisi kwako. Wengine hawako kama wewe mamii, ukae kitako ujue hilo.
 
ma bar maid ni wazuri jamani! halafu wana uzoefu wa majambozi kwa kwenda mbele! Wanawapita kwa mbali mawaifu kwa tips & tricks!

Anyways play safe! Kila bar maid mmoja (kwa mfano sinza) hutembea na wanaume KUMI kwa wiki kwa wastani!
 
Mkuu chris mbona stori nyingi husemi hako ka-mbulu kako wapi tuwekeze????
 
sema na wewe dada....anadhani wote wapo kwa ajili hiyo tu?...halafu umepotea sana mrembo nini shida?

.............. Nipo dada yangu maisha tu yananipeleka ndivyo sivyo lol. Nway tupo pamoja sasa
 
ma bar maid ni wazuri jamani! halafu wana uzoefu wa majambozi kwa kwenda mbele! Wanawapita kwa mbali mawaifu kwa tips & tricks!

Anyways play safe! Kila bar maid mmoja (kwa mfano sinza) hutembea na wanaume KUMI kwa wiki kwa wastani!

Mkuu unanivunjia mbavu zangu. Umeanzisha vita hapa, subiri wanaharakati wakusome.
 
ma bar maid ni wazuri jamani! halafu wana uzoefu wa majambozi kwa kwenda mbele! Wanawapita kwa mbali mawaifu kwa tips & tricks!

Anyways play safe! Kila bar maid mmoja (kwa mfano sinza) hutembea na wanaume KUMI kwa wiki kwa wastani!

HAHAHAAAAAAA, ulishafikaga pale Rose Garden mkuu??
miaka flani wakati inaanza ile bar ilikua na wahudumu wenye viwango vya kimataifa kama vya ISO!!, yani masela kibao tulikua tunajichanganya pale, nomaaa!.
 
Mkuu chris mbona stori nyingi husemi hako ka-mbulu kako wapi tuwekeze????

Taratibu mkuu, wakware wengi humu ndani, watakupiga bao. Subiri nihakikishe kilichofanya njemba zikatwangana makonde then ntakupasia mpira, usisahau, kizuri kula na nduguyo bana.
 
Hata wewe nawe unanitilia mashaka? Ni nani atakayebaki kuniamini kama anavyoniamini mama mtoto wangu?

Unajua Chrispin am trying to think kuhusu unayoaandika hapa,najaribu kutafakari kwamba wewe utakuwa mtu wa aina gani na unaishi maisha ya aina gani,maana kila nikisoma michango yako unayotoa hapa natatizika sana,sasa najiuliza ni kweli una hii life style au una-changamsha mada?
 
HAHAHAAAAAAA, ulishafikaga pale Rose Garden mkuu??
miaka flani wakati inaanza ile bar ilikua na wahudumu wenye viwango vya kimataifa kama vya ISO!!, yani masela kibao tulikua tunajichanganya pale, nomaaa!.

Mkuu, hapo unakaribia kufika maeneo ya bar lilipotokea timbwili. Manake ndio njia hiyohiyo.
 
Unajua Chrispin am trying to think kuhusu unayoaandika hapa,najaribu kutafakari kwamba wewe utakuwa mtu wa aina gani na unaishi maisha ya aina gani,maana kila nikisoma michango yako unayotoa hapa natatizika sana,sasa najiuliza ni kweli una hii life style au una-changamsha mada?

Ikiwa nimesema neno baya, toa ushahidi wa neno baya, lakini kama nimesema vema kwanini unatatizika? Ukimtazama sana bata, hutakula nyama yake.
 
Kaka, huyo mbulu yupo bar gani nije kumtembelea?

Lol! we ni mtu wa tatu unamuulizia! Nimeshawaambia subirini kwanza nitafute utamu uliosababisha ugomvi, then ntawapasia mpira wadau
 
Mkuu, hapo unakaribia kufika maeneo ya bar lilipotokea timbwili. Manake ndio njia hiyohiyo.

mmmnh, ntaweka antena zangu maeneo hayo, utashangaa mie ndo nakupasia mpira wewe!
 
HAHAHAAAAAAA, ulishafikaga pale Rose Garden mkuu??
miaka flani wakati inaanza ile bar ilikua na wahudumu wenye viwango vya kimataifa kama vya ISO!!, yani masela kibao tulikua tunajichanganya pale, nomaaa!.

G_P,

Umenikumbusha mbali saaaaaaaaaana!

Kuna mkulu mmoja wa "chombo cha fedha" hapo Bongo alikuwa akitinga na kaptula alafu anaketi kwenye OP - Observation Point na kuagiza kilaji, baada ya muda anatoweka na totoz!
 
au Mona Pub?, hebu ni-PM mkuu chris tunaweza kufanya kolabo
 
Back
Top Bottom