Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chriss,chriss, nikuulize swali una maana gani unaposema kuwa kizuri kula na ndugu yako?
Mbona iko straight forward? Unapopata kitu kizuri, mshirikishe ndugu yako. Mabaya mshirikishe adui yako. Kama wewe ni rafiki yangu, karibu tushirikiane mambo mazuri.
Mbona iko straight forward? Unapopata kitu kizuri, mshirikishe ndugu yako. Mabaya mshirikishe adui yako. Kama wewe ni rafiki yangu, karibu tushirikiane mambo mazuri.
Nipo Malawi for two weeks bado nina siku8 nirudi bila shaka ntakuta usha-onja kama si kudoea kabisa, so nafikiri si mbaya.....Nshakujibu/PM kaka!
uongo mukulu baamedi sometimes wanalipa hasa ukiwa na maudhi nyumbani,kwanza ni cheap halafu ni kama loto au vocha unakwngua na kupata cradit hapohapo ukimaliza biashara imeisha no comitments, acha jamaa wazitwange hivi videmu ukivikuta vizoefu usipoangalia utazichapa hata na mdogo wako,hahahahaaaaaaa!
Mkuu kwa hiyo unaenda kukomoa au? C wenzio tunatumia kuwe na maudhi kusiwe na maudhi. Ni maswala ya kubadili ladha na kuongeza uzoefu. Hahahaha!