Njia 10 za kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari lako

Njia 10 za kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari lako

Taarifa ni nzuri ila ulipoharibu humu ndani ni kutaja EPA. Ungeandika kirefu chake tu
 
Taarifa ni nzuri ila ulipoharibu humu ndani ni kutaja EPA. Ungeandika kirefu chake tu
hujaelewa nini hapo? jamaa kakopi na ku-paste. ni asilimia ndogo sana ya wabongo wanaotumia akili zao.
 
Wazee wa kupiga nyoka mpoooooo...?.
Wazee wa nyoka ni noma, yaani ukisafiri na dereva mpiga nyoka mbona utakoma kwa balance mafuta hata kama budget inaruhusu, kwenye vumbi anaachia nusu dirisha kisa asiwashe kiyoyozi alafu ukute ni mtu mzima sasa kama baba yako ni balaa maana hata kumwambia kila mara unakua unaogopa
 
Na je kama foreni ni kubwa mtu akipaki baa na kunywa bia ili kusubiri foreni ipungue ndipo aondoke si itasaidia kupunguza matumizi ya mafuta?
 
asante kaka kwa ushauri unaolinga na wanaotoka pande za mlima mrefu Africa
 
Na je kama foreni ni kubwa mtu akipaki baa na kunywa bia ili kusubiri foreni ipungue ndipo aondoke si itasaidia kupunguza matumizi ya mafuta?

Tena kama unatokea Mwenge kwenda Ubungo na kuendelea ukifika pale jirani na njiapanda ya UDSM unapumzika pale Traffic jam Pub kwa kama alieamua kuienzi foleni
 
suala la msingi lilikuwa ni ELIMU na si source. hakuna kipya ambcho wewe ungeongea umekivumbua. by the way jamaa sijaona alipo copy na kuja ku paste tupe link..otherwise hujui maana ya ku copy na kupaste. tumepata elimu hilo ndo la muhimu sana so hta kma alisoma sehemu akatuletea AMEFANYA JEMA SANA KUTULETEA. TUNASHUKURU KWA ELIMU.
 
Uzi mzuri sana hongera mkuu.naomba mwenye kuvifahamu vituo vya kuuzia mafuta vinavyochakachua tuviweke wazi hapa ili tusaidiane manaake hili ni janga.
 
Back
Top Bottom