Njia 10 za kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari lako

Njia 10 za kupunguza matumizi ya mafuta kwenye gari lako

Hongera kwa kuishukuru familia yako kwa kukuvumilia wakati ukiandika!
 
labda nitoe somo kuhusu air conditioning, ukiwa katika mwendo mdogo sana hasa foleni au umesimama unangoja mtu,engine inakua low idle hivyo ukiwasha ac engine ina feel uzito wa compressor . engine huongeza ulaji wa mafuta, lakini gari ikiwa iko mwendo kasi ingine inakua high rev. mzigo wa ac unakua ni mdogo sana kuusikia hivyo ac si chochote ktk ulaji wa mafuta. asanteni.
 
Very useful topic...ni vizuri kupandisha vioo wakati was mwendo kasi na kushusha kioo wakati wa foleni na jua sio kali,
Ni vizuri kucheki upepo wa tairi kila wiki,
Kwa wazee wa subaru ni vizuri ukatembea na gari ikiwa kwenye ECO mode, hii inasaidia sana.
ECO Mode kwenye Subaru ndio kitu gani
 
Very useful topic...ni vizuri kupandisha vioo wakati was mwendo kasi na kushusha kioo wakati wa foleni na jua sio kali,
Ni vizuri kucheki upepo wa tairi kila wiki,
Kwa wazee wa subaru ni vizuri ukatembea na gari ikiwa kwenye ECO mode, hii inasaidia sana.
Eco mode ni ipi asee?
 
Back
Top Bottom