Njia nyingine ni kununua battery-powered car.
InawezekanaHahahah....ukifikisha 100% inamaana mafuta hayatokata!!?
ECO Mode kwenye Subaru ndio kitu ganiVery useful topic...ni vizuri kupandisha vioo wakati was mwendo kasi na kushusha kioo wakati wa foleni na jua sio kali,
Ni vizuri kucheki upepo wa tairi kila wiki,
Kwa wazee wa subaru ni vizuri ukatembea na gari ikiwa kwenye ECO mode, hii inasaidia sana.
Eco mode ni ipi asee?Very useful topic...ni vizuri kupandisha vioo wakati was mwendo kasi na kushusha kioo wakati wa foleni na jua sio kali,
Ni vizuri kucheki upepo wa tairi kila wiki,
Kwa wazee wa subaru ni vizuri ukatembea na gari ikiwa kwenye ECO mode, hii inasaidia sana.