Njia 10 za Uchumba Salama

Njia 10 za Uchumba Salama

Umeandika ukweli mtupu japo kutekeleza hayo inahitaji kujitoa kweli kweli.
 
Ingia field afu leta hizo principles zako uone utaolewa lini.

Mahusiano ni kitu personal, acha kila mtu ayaendeshe yake vile aonavyo inafaa.
 
Sisi Wanaume tumekuelewa, ila singo maza wataendelea kuongezeka kwasababu wadada huwa hawaamini mapema
 
Hiyo namba 10 nitaikubali kwa sharti moja tu kwamba nitakapokuoa nikakuta ulishatumika tayari navunja ndoa.
Yamkini uko sahihi kwa msimamo wako. Lakini pia hautakuwa sahihi kumtafuta ambaye hajatumika kwa sababu nawe tayari umetumika kwa yule uliyevunja ndoa naye.
Hata mwanamke pia anapenda mwanaume ambaye hajatumika.

Iweje anataka ambaye hajatumika wakati tayari wewe umetumika kwa wanawake wengine?

Sina shaka wapo uliowatumia na wameolewa. Hata wewe pia utaoa aliyetumika. Naye atakuwa ametumika kwa wengine, sawa na wewe ulivyotumika kwa wengine.
 
Yamkini uko sahihi kwa msimamo wako. Lakini pia hautakuwa sahihi kumtafuta ambaye hajatumika kwa sababu nawe tayari umetumika kwa yule uliyevunja ndoa naye.
Hata mwanamke pia anapenda mwanaume ambaye hajatumika.

Iweje anataka ambaye hajatumika wakati tayari wewe umetumika kwa wanawake wengine?

Sina shaka wapo uliowatumia na wameolewa. Hata wewe pia utaoa aliyetumika. Naye atakuwa ametumika kwa wengine, sawa na wewe ulivyotumika kwa wengine.
Hakika umenena vizuri[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari!

Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:

1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.

Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.

2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.

Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.

3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.

4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.

Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.

5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.

6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.

Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.

7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.

8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.

9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.

Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.

10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.

Niwatakie siku njema
Namba 10 haiwezekan eti mchumba afu ujamla haiwezekan
 
Habari!

Natumaini wote ni wazima na namshukuru Mungu juu ya kila mmoja wetu. Natamani kushare nanyi mambo haya machache muhimu katika Uchumba:

1. Usiweke agano na mchumba.
Kuna Watu huwa wanajiapiza eti nisipokuoa/nisipoolewa na wewe bora nife kuliko kuoa/kuolewa.
Maagano ya namna hii yamewagharimu wengi.

Maandiko yanatambua agano la ndoa na si la uchumba.Acha mpango wa Mungu usimame kwenye uchumba wenu.

2. Usizae na mchumba ili akuoe.
Hii huwakumba Sana wadada.Wengi huingia kwenye huu mtego kwa kudanganywa na kuambiwa nizalie kwanza mtoto ndipo nikuoe.

Pia, kuna wadada hujitegesha. Kuna wadada hujitegesha wenyewe wapate mimba wakidhani watapendwa zaidi.
Wengi wamezalishwa na kutelekezwa.

3.Usioe/kuolewa na mtu asiyemcha Mungu.
Moyo wa mtu asiyemcha Mungu hauna hofu ya kitu chochote ndani yake.kufanya Jambo lolote kwako siyo tatizo kwake maana moyoni mwake hakuna hukumu.

4. Usikubali kuoa/kuolewa na mtu aliyekuwa kwenye ndoa tayari na ndoa ile ikavunjika na wewe ukataka kuingia naye kwenye ndoa bila kujua sababu za ndoa yake ya mwanzo kuvunjika.

Ni vema ukajua sababu kupitia kutafuta taarifa kwa watu wengine na si kwake maana atakudanganya.

5. Uchumba usiwe Siri.
Unaweza kujikuta unaoa/unaolewa na mume au mke wa mtu bila kujua.

6. Usioe au kuolewa na mtu kwa sababu unamhurumia.
Ni kweli kaonyesha upendo,Ni kweli anakujali lakini je!huyo mtu yumo moyoni mwako?unampenda? Au unajilazimisha kwa sababu ya zawadi anazokupa.

Ndoa nzuri ni ile ya watu wawili wanapendana na si ya upande mmoja.

7. Msichukuane kienyeji.
Ndoa Ina taratibu zake na taratibu hizo Zina baraka zake. Usijiweke kwenye mazingira ya kuibiwa usiku.

8. Acha kujiaminisha Sana kwamba utamuoa au utaolewa naye.
Kumbuka uchumba siyo ndoa.Lolote linaweza kutokea Kama siyo upande wako basi upande wake. Ruhusu mpango wa Mungu utimie na si utashi wako.

9. Epuka kumhonga mchumba vitu vya thamani kubwa, kumsomesha nk.
Usiwekeze Sana kwa mchumba. Lakini Kama unadhani uchumba ujivunjika hutaumia mpe,ila Kama unaona uchumba ukivunjika utaumia usimpe.

Simaanishi wachumba wasisaidiane,Kuna viwango vya kusaidiana wachumba. Mengine hayo ukitaka kuyafanya weka ndani.

10. Usizini.
Tendo la ndoa ni kwa wanandoa na ndiyo maana linaitwa tendo la ndoa na si tendo la uchumba. Ukiona mchumba anataka tendo Hili kwa Kasi kubwa huku akikwambia siwezi kuuziwa mbuzi kwenye gunia jua huyo hana mpango wa ndoa.

Niwatakie siku njema
Hoja zako zinajipinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unayatambua haya kwanini umetumia neno "usi"..?
Huko ni kumkataza mtu and then unatambua na maelekezo yake Bora ungeandika kwa utaadhari..
kwa nini na wewe usiandike uzi wako alafu unyooshe icho kiswahili chako..... sisi tunaelewa acha maneno 😬😬😬😬😬👆
 
Back
Top Bottom