Njia 20 zilizothibitishwa za kumshawishi mwanamke akupende bila ya kumwambia

Na mama bhokhe pia zinamhusu hizi? Maana ni kauzu haswaaa kiasi kwamba hata akifanyiwa romance utamsikia "unanirambaramba nini nithhhombhe nirare".
Hao wa kudumu huwa hawajali washajua mwelekeo wako!!
 
Sasa kwa elimu hii si ndio ushawafungua ubongo,tunapeperushiana ndege humu.
 
Yeye: Unafanya kazi gani?
Mimi: Ninatengeneza tengeneza vitu hapa na pale!!!! Hahahah
 
mhn! hizo kwa watoto wa mbezi waliokuzwa kwa katoon na kuelekezwa hiki tabia mbay usifanye
lakini kwa watoto wa Mbagala,ilala ukiingia hivyo hutoki ngoo watakupuna mpka senti ya mwisho na mzigo usipate
 
...mmmmm, hiyo namba 4...Ukumbe tu kuwa wapo wadada wanaojiheshimu na akihisi tu kuwa una mwanamke mwingine, atajiepusha maana ataona kuna hatari ya kupambana na mwanamke mwenzake kwa ajili yako...!!
 
Huyo mwanamke ni wa Afghanistan au? Bongo hii ukutane na mpenzi eti humpi attention, unampotezea, unamkosoa kumfanya mjinga, unamwambia eti hajapendeza labda iwe hivi: awe anakuhitaji saaaana kama una kitu cha 'ziada' naye yuko upande wa kupoteza either hana elimu, ni maskini sana, umri umeenda au anajiona havutii. Fanya hivyo kwa wanawake classis uone manyoya
 
...baadhi ya point upo sahihi naunga mkono
 
Mkuu point ya muamara haujaiongelea hapo
 
Hiyo no 20 mmh...vp hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…