Njia 20 zilizothibitishwa za kumshawishi mwanamke akupende bila ya kumwambia

Njia 20 zilizothibitishwa za kumshawishi mwanamke akupende bila ya kumwambia

Hizi mbinu labda huko Mlimani city na Masaki, huku Kiembe Mbuzi wee kata fungu tu!
 
Njia ya kumpata mwanamke ni moja tuu. Kumfuata, sasa wewe weka madoido yako, utakuja baadae kumchagulia jina la mtoto maana utakua umekuwa rafiki yake wa karibu
 
Hahahah hao wanawake ni wale ambao ni aidha watoto na hawajakomaa kiakili au hawajui mwanaume kabisa ndio utawapata kwa style hizo.

Mwanamke ambaye kashakubuhu atakuona unamletea hekaya za Tom n Jerry tu.

First impression ni uwezo wa kiuchumi sikuhizi and we all know that first impression matters.

Park ndinga yako mahali ukiwa smart na unanukia vyema, bila wenge agiza kinywaji au chakula, salimia na omba akujoin au umjoin then inabaki story.

Kama utachukua namba au utamaliza hapo hapo wewe tu, sikuhizi amnaga manzi anapindua kwa kijana presentable na mwenye penenge.

Hizo ulizoandika zote ni porojo za kutongozea vitoto vya la 6 mpaka form 4. No real woman is that dramatic, anaejua nini maana ya maisha na yanataka nini hatafall kwa huo utoto.


CHUKUA SODA😂..NAKUJA APO KULIPA
 
Mwanaume wa hivyo kwangu ataendelea kula kuona tuu, hakuna sifa mbaya ninayoichukia kwa mwanaume kama kutokujua kupenda uwiii siwezi kukupa muda hata wakunisalimia hata namba ya simu sikupi kafie mbele
 
Mapenzi ni mchezo wa hila, unafiki, maigizo na uongo, bila ya kutia hila na unafiki hupendwi
 
huyu jamaa anaelezea kitu kutokana na aina ya demu alokutana nae akidhani wanawake wote wako hivyo na watapenda na kuridhia that kind of treatment, anasahau wanawake nao ni wanadamu (the complex living thing) na sio kifaa tu ambacho kipo programmed na kipo tayari tu kwa kupokea commands,, nao wana mawazo yao na wana maamuzi pia ,,the issue ni kuwa creative kulingana na mtongozwaji alivyo full stop
Contingency approach ndiyo insyopaswa kutumika hapa, nimekupata mkuu
 
Tatizo watu hawaelewi namna ya kuziaply hizo mbinu,
Ila kiukwel zipo vzr na zitakusaidia upate pisi nzuri, hupunguza kuumizwa, nk
 
tafuta hela kaka utaoa mwanamke yoyote utayempenda na kwanin ufiche upendo ili kumshawishi akupende bila kumwambia na ktk hzo 20 namba 18 umejichanganya ukalitumia neno NAKUPENDA AU ILOVE U kwa hy inamanisha ni vile tu wewe unatufundisha kujichelewesha kumwambia mwanamke unampenda kwa hyo unatufundisha kujichelewesha kumwambia mwanamke unampenda.
 
Back
Top Bottom