NJia asili ya kupunguza ukubwa wa mikono ,matiti na tumbo

NJia asili ya kupunguza ukubwa wa mikono ,matiti na tumbo

Swala la kupunguza nyama ni kitu ingine jamaa angu asee .
 
Nmeanza kupaka leo, ila nakamua maji yake ndio najipaka maana kufikicha majiyanavuja[emoji17]
kwahiyo nachuja afu napaka kama mafuta dk2 ,je nafanya vibaya?
 
mazoezi gani sasa unaruka au unafanyaje kwa maziwa/mikono
NAUKITAKA KUONDOA VINYWELEO MIGUUNI PERMANENTLY KWA NJIA NATURAL nielekezeni anayejua
wax no
 
mazoezi gani sasa unaruka au unafanyaje kwa maziwa/mikono
NAUKITAKA KUONDOA VINYWELEO MIGUUNI PERMANENTLY KWA NJIA NATURAL nielekezeni anayejua
wax no
Screenshot_20170706-155523.png
Screenshot_20170706-155456.png
 
mimi pa matiti tu, katika body yangu matiti nachefukwa nayo...
yani kesho naenda kununua tangawizi za kutosha na malimao.
hayo matiti niyaoshaje na sabuni gani ili ngozi iweze kunyonya tangawizi vizuri
Tupe mrejesho
 
mimi pa matiti tu, katika body yangu matiti nachefukwa nayo...
yani kesho naenda kununua tangawizi za kutosha na malimao.
hayo matiti niyaoshaje na sabuni gani ili ngozi iweze kunyonya tangawizi vizuri
Tupe mrejesho, yalipungua?
 
mimi pa matiti tu, katika body yangu matiti nachefukwa nayo...
yani kesho naenda kununua tangawizi za kutosha na malimao.
hayo matiti niyaoshaje na sabuni gani ili ngozi iweze kunyonya tangawizi vizuri
Mi matiti makubwa ( mtindi ) ndo ugonjwa wangu
 
Back
Top Bottom