Ricky Bouje
New Member
- Apr 3, 2019
- 1
- 2
Yeaaaaah thats the shit junk food na meditation. Sex when am down hapana lol [emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Kula junk foods the likes of KFC
2. Hardcore s*x
3. Meditation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeaaaaah thats the shit junk food na meditation. Sex when am down hapana lol [emoji1787][emoji1787][emoji1787]1. Kula junk foods the likes of KFC
2. Hardcore s*x
3. Meditation
Stress na kupigilia misosi!!! Inapanda kweli mkuu?Nikiwa na hasira, Stress, huzuni.. kimbilio langu pekee ni chakula. HUWA NAKULA SANA KISHA USINGIZI MZITO HUNICHUKUA
😔Games
Nachajisha akili haraka sana ki +ve..
inahusu nini kiufupiTafuta hii collection nakuahidi hautaboeka. Ukiweza ongezea Series ya GOT yaani inakua kama upo dunia ya ya huko[emoji124][emoji124]
View attachment 2241668
Sex sex sex.Habali za usiku huu wakuu nimekuja na nyuzi hii tushikilishane kwa pamoja kwamba ni njia gani huwa tunazitumiaga kuondoa stress mfano; mtu kakukwaza, matatizo, kuumwa, nk.
Mfano mimi huwa nikiwa bored, off mood! Huwa napenda kuskiliza music’s tofauti tofauti kama; R&b, slow jams, blues, somehow na oldskul hiphop.
Pia kama sipo interested na music kwa muda huo! Huwa nalala atleast 3/4hours nikiamka nakuwa mpya.
Sijui wenzangu huwa mnatumia njia gani??