zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
nilishawahi kuwaza swala la mobile laboratory kwenye shule za kata nikakutana na mdau mmoja wa maswala ya NGOs nikamueleza alichofanya kwanza alicheka sana then akanitolea maproposal ya hiyo idea, loh! kumbe ukijifanya una wazo la pekeako ni kujidanganya...