TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Waliwaletea dini yao ambayo haiwahusu raia wote sasa hao wengine watakumbilia wapi?Ila kama dini walituletea kwann tusiwalipe kwa kuwapa bandari. Alisikika mfia dini mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliwaletea dini yao ambayo haiwahusu raia wote sasa hao wengine watakumbilia wapi?Ila kama dini walituletea kwann tusiwalipe kwa kuwapa bandari. Alisikika mfia dini mmoja
Usihofu Mungu ataamua ugomvi soon usinung'unike wala usilie 🙏😭🤣😂 sana sana muombee toba na rehema watufudenge maana ni hakika Mungu ataamua ugomviMpaka sasa ni wazi hii kamata kamata na uchawa wa wazi ni kuwa tumebakiza mbinu mbili tu kupinga huu mkataba
1.Kumuomba mungu aamue .
2.Kuchukia kila linalohusiana na serikali ya emirates na kukaa kwao kimya juu ya utawala ulochini yao wa Dubai kuturudishia machungu ya biashara ya utumwa
Umekuwa tu mwoga kuitaja njia pekee iliyobak. Na mimi sitaiandika lakin tunaijua wote.Mpaka sasa ni wazi hii kamata kamata na uchawa wa wazi ni kuwa tumebakiza mbinu mbili tu kupinga huu mkataba
1.Kumuomba mungu aamue .
2.Kuchukia kila linalohusiana na serikali ya emirates na kukaa kwao kimya juu ya utawala ulochini yao wa Dubai kuturudishia machungu ya biashara ya utumwa
Migodi na mashirika ya uma yalipouzwa ni faida gani imepatkanaYaaani nakwambiaje uniite au usiniite jina la dharau ukweli ndo huo. Dp World anakuja kuwekeza, nchi inaenda kufaidika na uwekezaji wake na hakuna lolote unaweza fanya.
Wanaopinga hawapingi uwekezaji ila vifungu vya mkataba jinsi vilivyokaa kama vya chief Mangungo. Vikirekebishwa hata hao DPW wawekeze tu hatuna chuki nao.Tafuta Dawa ya msongo wa mawazo tu. Ndo njia pekee iliyobaki
Uwekezaji Bandarini utaendelea, mafanikio yatapatikana na hakuna lolote utafanya mpuuzi wewe