Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Prisons tena Mbeya, 22/10Baada ya hii derby, sijui 5imba anakutana na nani ila naamini Next match 5imba anafungwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prisons tena Mbeya, 22/10Baada ya hii derby, sijui 5imba anakutana na nani ila naamini Next match 5imba anafungwa...
Upo sahihi akikaza atapata sareBaada ya hii derby, sijui 5imba anakutana na nani ila naamini Next match 5imba anafungwa...
Ohooo...!😆22. Chupi upande SC.
Debora alitepeta kwa kukosa msaada maana baada ya Kagoma kutoka muda wote alikuwa mtu wa kuzuia kuliko kushambulia na kushindana na viungo wa Yanga haikuwa rahisi...Feisal au Shila una hela gani za kuwatoa Azam, Makolo mna ndoto za mchana.
Mchezaji wa maana mliyesajili ni Deborah ambaye kipindi cha pili anatepeta
Wengine mikataba inaisha wakati huo wa dirisha dogo, hawawezi kukosekana labda gharama zaohiyo gharama ya kuwa na wachezaji wawili kwenye position moja wenye uwezo unaofanana nani analipa? Dirisha dogo mbadala wa mutale,mukwala,ngoma unawapatia wapi na kwa sh ngapi? Timu ipi itakubali kuwaachia wachezaji wake muhimu dirisha dogo?
Ukome wewe chura kiziwiSisi ndiyo Simba SC AKA;
1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC. View attachment 3131227
Weee kucheka gani huku....😬😬😬😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂View attachment 3131032
Cheko la binua mchanga 😂😂Weee kucheka gani huku....😬😬😬
Nimelitunza . 😄😄😄Cheko la binua mchanga 😂😂
Ikifika zamu yetu utatubinulia vicheko pia 😂😂Nimelitunza . 😄😄😄
Pole sana Mtani, AKA ubaya ubwege SC 🤣Ukome wewe chura kiziwi
Toa huo mwiko nyuma....utapata akiliPole sana Mtani, AKA ubaya ubwege SC 🤣
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.View attachment 3131472
Simba timu nyepesi sana, mechi ya juzi ukiangalia benchi unaona hawatoboi kabisa. Wakati benchi la Yanga vinaingia vyuma tu.Kufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.
Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.
2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.
3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.
Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.
Nilikwambia usianzishe ugomvi wa mawe ukiwa unaishi kwenye nyumba ya vioo, kiko wapi sasa 😊Toa huo mwiko nyuma....utapata akili
Ubaya ubwela forever...
Kwani mlifunga hata haooo..vinyesi FC...
Sawa bhanaKufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.
Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.
2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.
3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.
Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.