Njia iliyobaki ya Simba kuchukua ubingwa wa NBC 2024-25 ni hii hapa

Njia iliyobaki ya Simba kuchukua ubingwa wa NBC 2024-25 ni hii hapa

Kuna ndugu yangu "fundi mtaalam" kweri kweri yaan anaweza kubadilisha hata matokeo ya mechi iliyopita. Viongozi wa Simba mkitaka kombe njooni pm, kwa kiwango cha wapinzani wenu bila ndumba mtacheza tena kombe la losers!
 
Feisal au Shila una hela gani za kuwatoa Azam, Makolo mna ndoto za mchana.
Mchezaji wa maana mliyesajili ni Deborah ambaye kipindi cha pili anatepeta
Debora alitepeta kwa kukosa msaada maana baada ya Kagoma kutoka muda wote alikuwa mtu wa kuzuia kuliko kushambulia na kushindana na viungo wa Yanga haikuwa rahisi...

Huyo Okajepha aliyeingia alikuwa msafiri tu, in short ukiona siku Kagoma hayupo jua hutoona ufanisi wa Deborah maana hana msaada sahihi pembeni yake kwenye kukaba.

Sillah na Feisal wakiwa free agents hela yao haipishani na Mpanzu... Halafu pacha ya Sillah yule Kipre Junior kauzwa Mil 500/- kwenda USM Alger Simba inashindwaje?
 
hiyo gharama ya kuwa na wachezaji wawili kwenye position moja wenye uwezo unaofanana nani analipa? Dirisha dogo mbadala wa mutale,mukwala,ngoma unawapatia wapi na kwa sh ngapi? Timu ipi itakubali kuwaachia wachezaji wake muhimu dirisha dogo?
Wengine mikataba inaisha wakati huo wa dirisha dogo, hawawezi kukosekana labda gharama zao
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC. View attachment 3131227
Ukome wewe chura kiziwi
 
Na mashabiki tuisaidie kwa kufanya kazi kwa bidii maana Simba haitaleta ugali mezani. Wenzetu wanapewa supu ndo maana wavivu. Hahaha.
 
Ukome wewe chura kiziwi
Pole sana Mtani, AKA ubaya ubwege SC 🤣

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Kufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.

Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.

2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.

3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.

Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.
Simba timu nyepesi sana, mechi ya juzi ukiangalia benchi unaona hawatoboi kabisa. Wakati benchi la Yanga vinaingia vyuma tu.
 
Toa huo mwiko nyuma....utapata akili
Ubaya ubwela forever...
Kwani mlifunga hata haooo..vinyesi FC...
Nilikwambia usianzishe ugomvi wa mawe ukiwa unaishi kwenye nyumba ya vioo, kiko wapi sasa 😊

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.

Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.

2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.

3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.

Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.
Sawa bhana
 
Back
Top Bottom