Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
📢📢Wananzengo mpo📢📢
Uzazi wa mpango wa asili
✨Kukwepesha
Msome mtu wako, anapokaribia kufika kileleni... Msadie amwage nje ... Utamjua kwa joto lake la mwili, kukakamaa na yeye kufunga macho au kurembua kama anakata roho😂😂😂
✨Mbegu za mpapai
Tafuta mapapai kama sita... Toa mbegu zake.... Anika kivulini.... Zikikauka saga upate unga wake/uzile. Zinaweza kutunzwa kwenye kopo zikiwa kavu kwa siku 90.Ukiwa na kilo chini ya 71..... Tumia kwenye maji ya uvuguvugu kwa kipimo cha kijiko cha chai. Hautopata mimba ndani ya masaa 24.
✨Jivu ya mkaa au kuni
Yachekeche tia kwenye kopo....Jivu haliaribiki.... Weka kijiko kikubwa kimoja kwenye maji ya moto .... Kunywa lisaa kabla ya mchezo. Inadumu kwa masaa 24
✨kitambaa cha mwezi
Kwenye kopo lisiloonekana kilichomo ndani.... Weka kitambaa cha siku ya kwanza ya hedhi.... Funga na ficha sehemu unayoijua wewe tu.
Akikiona mtu kwa kufungua kopo una mimba, siku ukifungua ndio utashika mimba. Angalizo;kitambaa cha hedhi ni njia rahisi sana ya mtu kukufunga kizazi kichawi. Linda dawa yako
✨Mwiko wa ugali au wali
Ukivunjika ukiwa unapika.... (usivunje kwa makusudi).... Kata jiti vidogo kwa namba witiri 3,5,7,9.... Uvae kwenye shanga yako siku za hedhi.... Namba ya vijiti ndio miaka utakayofunga uzazi wako
Nb:angalia kilo zako na matumizi ya dawa.... 70 kijiko kimoja kutokana na maelezo ya dawa hapo juu .... 80 mpaka 90 viwili 90 mpaka 100 vitatu..... Tujiachie na njia zetu za asili
Uzazi wa mpango wa asili
✨Kukwepesha
Msome mtu wako, anapokaribia kufika kileleni... Msadie amwage nje ... Utamjua kwa joto lake la mwili, kukakamaa na yeye kufunga macho au kurembua kama anakata roho😂😂😂
✨Mbegu za mpapai
Tafuta mapapai kama sita... Toa mbegu zake.... Anika kivulini.... Zikikauka saga upate unga wake/uzile. Zinaweza kutunzwa kwenye kopo zikiwa kavu kwa siku 90.Ukiwa na kilo chini ya 71..... Tumia kwenye maji ya uvuguvugu kwa kipimo cha kijiko cha chai. Hautopata mimba ndani ya masaa 24.
✨Jivu ya mkaa au kuni
Yachekeche tia kwenye kopo....Jivu haliaribiki.... Weka kijiko kikubwa kimoja kwenye maji ya moto .... Kunywa lisaa kabla ya mchezo. Inadumu kwa masaa 24
✨kitambaa cha mwezi
Kwenye kopo lisiloonekana kilichomo ndani.... Weka kitambaa cha siku ya kwanza ya hedhi.... Funga na ficha sehemu unayoijua wewe tu.
Akikiona mtu kwa kufungua kopo una mimba, siku ukifungua ndio utashika mimba. Angalizo;kitambaa cha hedhi ni njia rahisi sana ya mtu kukufunga kizazi kichawi. Linda dawa yako
✨Mwiko wa ugali au wali
Ukivunjika ukiwa unapika.... (usivunje kwa makusudi).... Kata jiti vidogo kwa namba witiri 3,5,7,9.... Uvae kwenye shanga yako siku za hedhi.... Namba ya vijiti ndio miaka utakayofunga uzazi wako
Nb:angalia kilo zako na matumizi ya dawa.... 70 kijiko kimoja kutokana na maelezo ya dawa hapo juu .... 80 mpaka 90 viwili 90 mpaka 100 vitatu..... Tujiachie na njia zetu za asili