Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ahsante nitafanya hii, umenihakikishia, ndugu mtaalamu nikipata mimba huyo mtoto nitakuletea wewe umleeOhh yesssss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante nitafanya hii, umenihakikishia, ndugu mtaalamu nikipata mimba huyo mtoto nitakuletea wewe umleeOhh yesssss
Mjomba naye ni mamaAhsante nitafanya hii, umenihakikishia, ndugu mtaalamu nikipata mimba huyo mtoto nitakuletea wewe umlee
Kunywa majivu muda mfupi kabla hujaenda kukipiga kiputeMkuu utulete na njia asili za wanaume maana wengine mikojo yetu ya moto
😂😂😂😂Mjomba naye ni mama
Wee mlete tu nimlee.😂😂😂😂
umetisha mzee....[emoji350][emoji350]Wananzengo mpo[emoji350][emoji350]
Uzazi wa mpango wa asili
[emoji92]Kukwepesha
Msome mtu wako, anapokaribia kufika kileleni... Msadie amwage nje ... Utamjua kwa joto lake la mwili, kukakamaa na yeye kufunga macho au kurembua kama anakata roho[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji92]Mbegu za mpapai
Tafuta mapapai kama sita... Toa mbegu zake.... Anika kivulini.... Zikikauka saga upate unga wake/uzile. Zinaweza kutunzwa kwenye kopo zikiwa kavu kwa siku 90.Ukiwa na kilo chini ya 71..... Tumia kwenye maji ya uvuguvugu kwa kipimo cha kijiko cha chai. Hautopata mimba ndani ya masaa 24.
[emoji92]Jivu ya mkaa au kuni
Yachekeche tia kwenye kopo....Jivu haliaribiki.... Weka kijiko kikubwa kimoja kwenye maji ya moto .... Kunywa lisaa kabla ya mchezo. Inadumu kwa masaa 24
[emoji92]kitambaa cha mwezi
Kwenye kopo lisiloonekana kilichomo ndani.... Weka kitambaa cha siku ya kwanza ya hedhi.... Funga na ficha sehemu unayoijua wewe tu.
Akikiona mtu kwa kufungua kopo una mimba, siku ukifungua ndio utashika mimba. Angalizo;kitambaa cha hedhi ni njia rahisi sana ya mtu kukufunga kizazi kichawi. Linda dawa yako
[emoji92]Mwiko wa ugali au wali
Ukivunjika ukiwa unapika.... (usivunje kwa makusudi).... Kata jiti vidogo kwa namba witiri 3,5,7,9.... Uvae kwenye shanga yako siku za hedhi.... Namba ya vijiti ndio miaka utakayofunga uzazi wako
Nb:angalia kilo zako na matumizi ya dawa.... 70 kijiko kimoja kutokana na maelezo ya dawa hapo juu .... 80 mpaka 90 viwili 90 mpaka 100 vitatu..... Tujiachie na njia zetu za asili
Hili Mshana Jr anahitajika atusaidie mimi kwangu pia nimeliona..daah.Wee mlete tu nimlee.
Halafu Kuna swali nataka kuuliza, hivi kwanini mashangazi ndio wachawi wanaoturoga, pamoja na bibi mzaa baba?
Kina mama wakubwa, wajomba na mama wadOgo na bibi mzaa mama hawawagi wachawi?
Kunywa kijiko kimoja tu cha mafuta ya nyonyo (mbarika, mbono kaburi) nusu saa kabla hujaingia kukiwashaMkuu utulete na njia asili za wanaume maana wengine mikojo yetu ya moto
Hiyo ya kitambaa cha kwanza cha hedhi ni serious mdogo wangu Bujibuji Simba Nyamaume ?[emoji350][emoji350]Wananzengo mpo[emoji350][emoji350]
Uzazi wa mpango wa asili
[emoji92]Kukwepesha
Msome mtu wako, anapokaribia kufika kileleni... Msadie amwage nje ... Utamjua kwa joto lake la mwili, kukakamaa na yeye kufunga macho au kurembua kama anakata roho[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji92]Mbegu za mpapai
Tafuta mapapai kama sita... Toa mbegu zake.... Anika kivulini.... Zikikauka saga upate unga wake/uzile. Zinaweza kutunzwa kwenye kopo zikiwa kavu kwa siku 90.Ukiwa na kilo chini ya 71..... Tumia kwenye maji ya uvuguvugu kwa kipimo cha kijiko cha chai. Hautopata mimba ndani ya masaa 24.
[emoji92]Jivu ya mkaa au kuni
Yachekeche tia kwenye kopo....Jivu haliaribiki.... Weka kijiko kikubwa kimoja kwenye maji ya moto .... Kunywa lisaa kabla ya mchezo. Inadumu kwa masaa 24
[emoji92]kitambaa cha mwezi
Kwenye kopo lisiloonekana kilichomo ndani.... Weka kitambaa cha siku ya kwanza ya hedhi.... Funga na ficha sehemu unayoijua wewe tu.
Akikiona mtu kwa kufungua kopo una mimba, siku ukifungua ndio utashika mimba. Angalizo;kitambaa cha hedhi ni njia rahisi sana ya mtu kukufunga kizazi kichawi. Linda dawa yako
[emoji92]Mwiko wa ugali au wali
Ukivunjika ukiwa unapika.... (usivunje kwa makusudi).... Kata jiti vidogo kwa namba witiri 3,5,7,9.... Uvae kwenye shanga yako siku za hedhi.... Namba ya vijiti ndio miaka utakayofunga uzazi wako
Nb:angalia kilo zako na matumizi ya dawa.... 70 kijiko kimoja kutokana na maelezo ya dawa hapo juu .... 80 mpaka 90 viwili 90 mpaka 100 vitatu..... Tujiachie na njia zetu za asili
Very seriousHiyo ya kitambaa cha kwanza cha hedhi ni serious mdogo wangu Bujibuji Simba Nyamaume ?
Something fishy might be done in my family .Very serious
Unakula vyakula vya namna gani, wewe na mkeo?Something fishy might be done in my family .
Eight years now no child with my lovely queen
All experiment i did no one had any problem [emoji24]
Na wengine saa hii wanatoa mimba na wengine wapo majalalani wanatupa watoto..!! Hivyo shida zako si shida za wengineYaani sisi wengine tunatafuta watoto kumbe kuna wengine wanatafuta njia za kukosa watoto. Kweli akili ni nywele kila mtu na zake
Hii itasubiri sana miko yenyewe ya mpingo itavunjika liniUkivunjika ukiwa unapika.... (usivunje kwa makusudi).... Kata jiti vidogo kwa namba witiri 3,5,7,9.... Uvae kwenye shanga yako siku za hedhi.... Namba ya vijiti ndio miaka utakayofunga uzazi wako
Na atuletee mrejesho alivoharisha[emoji23] usicheze na castor oilKunywa kijiko kimoja tu cha mafuta ya nyonyo (mbarika, mbono kaburi) nusu saa kabla hujaingia kukiwasha