Kweli hapo kuna tatizo,haya tuwatafute hao 98...Unazungumzia hawa vijana wanaokesha kubet, kunywa pombe, kusaka connection za video za ngono, kuwaza kula tunda kimasihara, kushinda instagram na Twitter kutafuta udaku?
Maana hao ndio vijana waliotuzunguka hapa mtaani.
Nakuuliza tena ml 720÷100 = na shi ngapiSoma kwa makini mkuu, acha maneno ya kuvunja mwoyo
Project kama hizi zinawafaa watu wenye hizi sifa...Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini
Hahahah motivation spika akikujibu niiteNakuuliza tena ml 720÷100 = na shi ngapi
Tuelewane Kwanza hao vijana 100 ni watanzania au wanatoka nchi gani?.Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini
Hapa ni mecheka kweli.........hivi hao vijana wetu wanashida gani?Tuelewane Kwanza hao vijana 100 ni watanzania au wanatoka nchi gani?.
Kama utapata wajapani hapo sawa ila siyo vijana hawa wa samia akina Lucas mwashambwa
Uaminifu na commitment ni sifuriHapa ni mecheka kweli.........hivi hao vijana wetu wanashida gani?
Mkuu mimi niondowe katika hayo makundi mimi nineleta andiko watu wajadili, sina nia ya kuongoza kundi lolote hapaKaylinda, Qnet Covax kuna wajinga watapigwa hapa.
Mungu saidia hii thread wasiione walimu[emoji853]
Ningeshangaa sanaHesabu za wapi hizi mtu anakurupuka tu na hangover za double kick
Mil 720÷100= na mil 72 sio
Hapo Ni ml7 na laki 2
Kwa maisha gani haya ya bongo ukiwa na kaakiba tu na simu hizo kama zote kutoka kwa ndugu..Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini
Labda wewe umekuja TZ juzi. Hata hivyo report ya CAG utakuwa umeisikiaHapa ni mecheka kweli.........hivi hao vijana wetu wanashida gani?
Acha kudanganya watu, huwezi pata pesa kizembe hivo.Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili
Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.
Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000
`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000
Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000
Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba
Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka
300,000,000 /50,000,000 = 6 acres
Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri
Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair
15,000,000 X 48 =720,000,000.
Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.
Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.
Ebu tuongane tupambane na umasikini
Kuweķeza kwa miaka mitano ni uzembe????Acha kudanganya watu, huwezi pata pesa kizembe hivo.
Umeulizwa,mil 72 imetoka wapi? Maana ukichukua mil 720 /100 ni mil 7 na laki 2Kuweķeza kwa miaka mitano ni uzembe????
Kwa miaka mitano mnapata 720m then mnagawana 7.2m kila mtu....ya mimi nikae miaka mitano nasubiri million 7..???????Kuweķeza kwa miaka mitano ni uzembe????