Njia moja ya kutoboa maisha bila kuumiza kichwa au kuiba

Njia moja ya kutoboa maisha bila kuumiza kichwa au kuiba

Unazungumzia hawa vijana wanaokesha kubet, kunywa pombe, kusaka connection za video za ngono, kuwaza kula tunda kimasihara, kushinda instagram na Twitter kutafuta udaku?
Maana hao ndio vijana waliotuzunguka hapa mtaani.
Kweli hapo kuna tatizo,haya tuwatafute hao 98...
 
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
Project kama hizi zinawafaa watu wenye hizi sifa...
1. Walioajiriwa na kuwa na uhakika wa kupokea mshahara kila mwezi.
2. Watu wenye mlengo mmoja unaoshahabiana kimaisha au kiajira.
3. Watu wenye kufahamiana kikaribu katika ajira au utafutaji.

Kwa mfano.
Kundi la waalimu katika shule moja au mbili hivi zilizopo karibu karibu wakaungana kuufanya haya, kutumia mishahara yao....
Askari......
Madaktari......
Wauguzi......
Wahasimu......

Mpango wowote wa kipesa ukishajumuisha watu wengi na ukiwa wa muda mrefu, huwa na changamoto nyingi mnoo. Mambo mengine ni bora kufanya wewe mwenyewe tu, hata kama kwa udogo ili kupata mafanikio.
 
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
Tuelewane Kwanza hao vijana 100 ni watanzania au wanatoka nchi gani?.

Kama utapata wajapani hapo sawa ila siyo vijana hawa wa samia akina Lucas mwashambwa
 
Kaylinda, Qnet Covax kuna wajinga watapigwa hapa.

Mungu saidia hii thread wasiione walimu[emoji853]
 
Kwani mikopo ya halmashauri ilifikaga wapi kweli?!
 
Kaylinda, Qnet Covax kuna wajinga watapigwa hapa.

Mungu saidia hii thread wasiione walimu[emoji853]
Mkuu mimi niondowe katika hayo makundi mimi nineleta andiko watu wajadili, sina nia ya kuongoza kundi lolote hapa
 
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
Kwa maisha gani haya ya bongo ukiwa na kaakiba tu na simu hizo kama zote kutoka kwa ndugu..
 
Tuanzie hapa


50000 kwa siku (sawa)

50000 * 100 ( hapa sasa )
Hiyo 100 ndio kitu gani!!?

Hata uweke 50 kila siku kwa mwezi mzima haiwezi kufikia mara 100 maana mwezi una siku 30 tu tena toa jmos na jpili
 
Napenda sana andiko miradi miepesi kwa mtu wa chini hususani vijana walioko kati ya miaka 20 hadi 35. Wenye uelewa wa uwekezaji na wauaminifu tujaribu hili

Tukipata vijana 100 wanachama, na kila kijana ana uwezo wakutunza sh 50,000 kila mwezi kiasi ambacho ni kinazekana au chini yake kidogo.

Kwa mwezi
50,000 X 100=5,000,000

`kwa mwaka.
5,000,000 X 12= 60,000,000

Kwa miaka mitano(5)
60,000,000 X 5 = 300,000,000

Wekeza hi pesa kwenye 300,000,000 strategic real estate mji inao kua kama kigamboni kibaha au Goba

Kwa mfano mnapata acre 1 ya aridhi kwa 50,000,000 kila heka

300,000,000 /50,000,000 = 6 acres

Kila heka ina viwanja 8 20×30 au 50 X100ft, kwa hiyo mtakua na viwanja 48 plots, zenye kua na njia nzuri

Kila plot ukiiuza 15,000,000, bei ambao ni ndogo sana and fair

15,000,000 X 48 =720,000,000.

Mtapata milioni mia saba na ishirini.(720,000,000) mkogawana kwa wana chama 100 kila mwana chama hupata milioni 72m.

Mtaji unao weza vizuri kua chazo cha kuvunja the vicious cycle of poverty kwenye familia, ebu fikiliani kuhusu hili kwa makini, naomba constractive critism kuhusu hilo.

Ebu tuongane tupambane na umasikini
Acha kudanganya watu, huwezi pata pesa kizembe hivo.
 
Hivi drama zote hizi za utapeli wa namna hii zinazoendelea kuna watu wanaendelea kudanganyika kweli....
 
Back
Top Bottom