Njia ni Nyembamba na Mlango ni Mwembamba, Waingiao ni wachache (Spirit Science)

Njia ni Nyembamba na Mlango ni Mwembamba, Waingiao ni wachache (Spirit Science)

Tatizo lako umesoma na hujawahi kufanyia kazi. Na ndio maana nimesema kuwa si rahisi na inahitaji bidii. Halafu unaposema una degree ya Metaphysics na Meditation una maanisha nini? Meditation is not all about learning its about practice.

Ungekuwa unajua Relationship btw Lucid dreaming na OBE hapa tungekuwa tunaongea. Ona sasa umeanza kuleta imani za kichawi hapa.

Na pia usitishe watu, kama wewe ulishindwa waache wengine wajaribu, sio kuwakatisha tamaa kwa kusema umesomea hayo mambo.

Wewe unachopitia ni majinamizi na ushirikina tu na huwezi kukwepa kuwa unapitia mazingira ya uchawi tu na ndoto mbaya

1 ....kwa anayejua Metaphysics anaelewa. Metaphysics is the backborne of meditation.......

2 - Tafuta mtu wa meditation akufundishe ndipo utajua there is no way you can be an expert in meditation bila kustudy metaphysics-the philosophical study of mind, brain, spirit and universal knowledge. Tembelea hata kwa wataalamu wa yoga dar watakwambia haya ninayokueleza.

3 - Every good meditator knows metaohysics. Hujui metaphsyics kwa sababu unasoma tu kwenye internet na kuja kumwaga hapa kwa kulinganisha na uswahili unaoupitia usiku ndotoni. Hiyo unayoipitia wengi tumeipitia and it is all satanism it has nothing to do will meditation.

4 - Kukuthibitishia nilichokwambia wewe inakutokea ukiwa usingizini. Meditation si kulala usingizi, you have to be aware physically and mentally. Na haitokei tu, kama hizo ndoto zako zinavyokutokea....you have to initiate the process. And the process is not easy na so short kama unavyosema as it involves closing all the human body senses, mind and human pysical spirit and let the deeper inner spirit to take cintrol of you.

Bisha kwa sababu umeamua kubisha kwa sababu ya uelewa finyu ulionao juu ya masuala haya
 
Wewe unachopitia ni majinamizi na ushirikina tu na huwezi kukwepa kuwa unapitia mazingira ya uchawi tu na ndoto mbaya

1 ....kwa anayejua Metaphysics anaelewa. Metaphysics is the backborne of meditation.......

2 - Tafuta mtu wa meditation akufundishe ndipo utajua there is no way you can be an expert in meditation bila kustudy metaphysics-the philosophical study of mind, brain, spirit and universal knowledge. Tembelea hata kwa wataalamu wa yoga dar watakwambia haya ninayokueleza.

3 - Every good meditator knows metaohysics. Hujui metaphsyics kwa sababu unasoma tu kwenye internet na kuja kumwaga hapa kwa kulinganisha na uswahili unaoupitia usiku ndotoni. Hiyo unayoipitia wengi tumeipitia and it is all satanism it has nothing to do will meditation.

4 - Kukuthibitishia nilichokwambia wewe inakutokea ukiwa usingizini. Meditation si kulala usingizi, you have to be aware physically and mentally. Na haitokei tu, kama hizo ndoto zako zinavyokutokea....you have to initiate the process. And the process is not easy na so short kama unavyosema as it involves closing all the human body senses, mind and human pysical spirit and let the deeper inner spirit to take cintrol of you.

Bisha kwa sababu umeamua kubisha kwa sababu ya uelewa finyu ulionao juu ya masuala haya

Ndugu wala sitaki kubishana na wewe. Na mambo ya majinamizi au shetani hayahusiki. Ingekuwa nivyema ukaeleza kwa point pasipo kutoa lugha chafu isiyo hata na maana. Toa maelezo kwa point. Metaphysics, Cosmology na vitu vifananavyo na hivyo nimesoma na ninaendelea kusoma.

Hebu ni kuulize swali. Je shetani ni nini? Jinamizi ni nini? Ukinijibu maswali haya ndio utakuwa na sifa ya aghalau ya kuweza kuongea na mimi kidogo.
 
God is state consciousness level. Kama utakuja kufahamu kuwa God is within you and God is you. Ndipo utakaponielewa nina maanisha nini.

Uungu ni hali, sio kitu. Unaweza ukatumia nguvu yako ya uungu iliyomo ndani yako. Utakapo anza kuangaziwa na kuipata nuru ndipo utakapojua Mungu maana yake ni nini.

Moja wapo ya sifa kuu ya Mungu ni kuumba. Je wewe waweza kuumba? Waweza kuhamisha milima? Waweza kutambua mawazo ya watu??
 
Lisifa alifukuzwa mbinguni kwa sababu ya kutaka kujiinua kama Mungu. Muulize Mshana Jr Luciferian ni nini. Unaelekea kwenye ushetani halafu unajiona Mungu ndicho alichotaka Lucifa
 
Nikishabobea ktk mambo hayo unayotaka/unayoshauri nijifunze nafaidika na nini mkuu?
 
Moja wapo ya sifa kuu ya Mungu ni kuumba. Je wewe waweza kuumba? Waweza kuhamisha milima? Waweza kutambua mawazo ya watu??
Haya mambo ya kuumbwa na kuumba ni theory za kidini. Ni lazima uondoe theory hizo uwe huru ndipo utakapoelewa naongelea nini.
 
Lisifa alifukuzwa mbinguni kwa sababu ya kutaka kujiinua kama Mungu. Muulize Mshana Jr Luciferian ni nini. Unaelekea kwenye ushetani halafu unajiona Mungu ndicho alichotaka Lucifa
Kwanza mbinguni ni wapi. Kwenye sayari ya Jupita? mwezini? au wapi?
Hebu kwanza uwe huru ndugu. Jaribu kutafakari.
 
Nikishabobea ktk mambo hayo unayotaka/unayoshauri nijifunze nafaidika na nini mkuu?
1. Unajitambua wewe ni nani.
2. Unajua asili yako ni nini.
3. Unajua kabla na baada ya kuwepo duniani unakuwa wapi.
4. Unapata nuru na unakuwa huru kweli kweli.
5. Hekima inazidi kuongezeka siku baada ya siku.
Na mambo yafananayo na hayo.
 
Kwanza mbinguni ni wapi. Kwenye sayari ya Jupita? mwezini? au wapi?
Hebu kwanza uwe huru ndugu. Jaribu kutafakari.

Unajaribu kusema nini? Unajaribu kushawishi nini?? Neno la Mungu ukiliendea kwa akili na uwezo wa kibinadamu utalikosa. Kumbuka imeandikwa maarifa ya kimungu ni upumbavu kwa mwanadamu vivyo hivyo akili ya mwanadamu ni upumbavu mbele za Mungu. Unajaribu sana kutumia akili yako kumpata Mungu na hujui umeshamkosa kirahisi sana.
 
1. Unajitambua wewe ni nani.
2. Unajua asili yako ni nini.
3. Unajua kabla na baada ya kuwepo duniani unakuwa wapi.
4. Unapata nuru na unakuwa huru kweli kweli.
5. Hekima inazidi kuongezeka siku baada ya siku.
Na mambo yafananayo na hayo.

Embu yaweke wazi wewe hayo uliyoyajua kwa upande wako Annael
 
Last edited by a moderator:
Unajaribu kusema nini? Unajaribu kushawishi nini?? Neno la Mungu ukiliendea kwa akili na uwezo wa kibinadamu utalikosa. Kumbuka imeandikwa maarifa ya kimungu ni upumbavu kwa mwanadamu vivyo hivyo akili ya mwanadamu ni upumbavu mbele za Mungu. Unajaribu sana kutumia akili yako kumpata Mungu na hujui umeshamkosa kirahisi sana.
Nadhani hapa unaongelea dini yako unayoijua. Mimi siko huko. Nimekuuliza maswali umeshindwa kuyajibu. Tafakari na chukua hatua.
 
Twend Pole Pol Annael Somo Zur Umesema Ukiwa Tayar Mwalim Atakutafuta Hap Umemaanish Nin Mfan Mim Niko Bush Mwalm Atatokeaj Na Utafahamuj Kuw Huy Ananifundsh Kit Sahh Coz Hat Wachawa Wanatoka Nje Ya Mwli, Na Unaonaj Kama Mtu Akianza Na Hatua Za Awal Za Meditation Ambaz Hujazizungumzia Ili Tunaanza Tusianze Kuogpa Kufa Ganz Usingizin Wakat Hat Ku Concetrate T Katka Medtation Tnaogap ,

Dont wait for a Guru life is your Guru.
 
Hivi freemason nao si wanameditate or yao sio kama hii yako?
 
Wewe unachopitia ni majinamizi na ushirikina tu na huwezi kukwepa kuwa unapitia mazingira ya uchawi tu na ndoto mbaya

1 ....kwa anayejua Metaphysics anaelewa. Metaphysics is the backborne of meditation.......

2 - Tafuta mtu wa meditation akufundishe ndipo utajua there is no way you can be an expert in meditation bila kustudy metaphysics-the philosophical study of mind, brain, spirit and universal knowledge. Tembelea hata kwa wataalamu wa yoga dar watakwambia haya ninayokueleza.

3 - Every good meditator knows metaohysics. Hujui metaphsyics kwa sababu unasoma tu kwenye internet na kuja kumwaga hapa kwa kulinganisha na uswahili unaoupitia usiku ndotoni. Hiyo unayoipitia wengi tumeipitia and it is all satanism it has nothing to do will meditation.

4 - Kukuthibitishia nilichokwambia wewe inakutokea ukiwa usingizini. Meditation si kulala usingizi, you have to be aware physically and mentally. Na haitokei tu, kama hizo ndoto zako zinavyokutokea....you have to initiate the process. And the process is not easy na so short kama unavyosema as it involves closing all the human body senses, mind and human pysical spirit and let the deeper inner spirit to take cintrol of you.

Bisha kwa sababu umeamua kubisha kwa sababu ya uelewa finyu ulionao juu ya masuala haya

Heshima yako mkuu
 
hivi unawezaje ku-shut down all of ur senses? is it safe? sound scary to me!
 
hivi unawezaje ku-shut down all of ur senses? is it safe? sound scary to me!

Huwezi kushut down isipokuwa you control all the body chacro points (except the heart) That is why before meditation you do a bit of fasting kwa sababu chacro points ni energy centers. When you fast you are able to control them kwa sababu energy inakuwa ndogo. Ndiyo sababu hata katika maombi ya kawaida watu wanashauriwa kufunga bila kula wala kunywa kwa muda fulani....it is the same philosophy.
 
Back
Top Bottom