Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kioo kivipi
Sasa cha kushangaza hayo marinda hayana makali. Ni jambo la kustaajabisha sana. Yani nawashangaa wale wanaosema mungu hayupo.Marvey yanakatwa na Marinda mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona tunawajua. Shetani wa mtu ni mtu mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] umenifanya niende kutoa like yangu aiseeNa hizo likes atazipata kutoka kwa majini wenzake
🤣🤣🤣🤣Mimi huwa najiulizaga hivi mqoundou unakataje marvey bila kutumia makali ama vitu vyenye ncha kali kama kisu?
Faking amazing!
Na wa kiumeHarufu ya marashi ya kuvutia. Hakuangalii machoni, anatazama chini, ni mzuri kupindukia.
Write your reply...kioo hiki hiki cha kujiangalizia unafanya hv,mara nyingi jini kama yuko mita hamsini anakuja usawa wako uwa wanakuwa na pafyumu kali sana inanukia kabla hata hajakufikia .sasa unaweka kioo hata kuegemeza sehemu ambayo unajua atapita mbele ya kioo,akiona kioo hapiti atageuza njia .kioo kinaonesha umbo halisi la jini.