Njia nyepesi ya kumfukuza mwanaume

Muombe hela tu mwanaume akikutongoza wewe umtaki muombe hela tu akikutumia uyo kweli anakupenda nakuganda 🤗🤗🤗 napenda pesa jaman ukija kwangu unatakiwa uwe mvumilivu na kibunda pia
Hela siyo kipimo cha upendo kwa mwanaume..ndo maana hata malaya wananunuliwa kwa pesa ila hawapendwi...

Kama hiyo ndo tabia yako utapewa sana pesa na utatumiwa sana pia..wanaume hatuoni kutoa pesa kwa malaya tutimize haja zetu
 
Njia pekee ya kumuacha mwanamke ni kumnyima hela.
Utamu tupate wote halafu tena nitoe hela? Hunipati za bure zipo nyingi tu.tena huku kijijini tunaingia kwa gear ya kuoa,utakula hadi uchoke, wakati huo unaletewa karanga,mahindi mabichi,pepeta nk.mimi kijijini sihami kwenye nyapu za bure.
 
Dadaz waweka pesa mbele uwa mnaishi ktk utumwa wa kingono sana. poleni
 
Hii ni mahusiano? ipelekwe jukwaa la biashara
Cookie Moderator
Ndio maana tumekuwa wapitaji tu.
Tumegeuka wana wa Israel katika safari ya mapenzi.
Ni kujenga mahema tu kwani safari bado ndefu kuzunguka jangwani...ooh Lord...hawa ndio kinafika kipindi anataka me yeyote ilimradi anahema...nisameheni wakuu
DeepPond
Manyanza
ERoni
 
Siku moja nilikuwa mabarabarani huko na bimkubwa tukakutana na mabinti fulani ,akaniambia nije nikuone na kukusikia unaniambia wanawake kama wale eti ndio wachumba zako au unataka kuoa.Namshukuru Mungu kwa zawadi ya huyu mwanamke niliye nae.
 
Shoo unatoa kikamilifu au ndo nyie mkifika gheto full kunuka chupi na contena la UTI kule chini!?

Unaweza shoo!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] najuta kusoma hii post ukweni! Nakaribia kuwaaga najikuta nacheka kwa sauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…