Njia nyingine ya ku earn pesa online kwa freelancers

Njia nyingine ya ku earn pesa online kwa freelancers

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Remotasks

I love being online na hilo limenifanya niwe natafuta njia kadhaa za kumake money while I am online, na leo ninawaletea hii tovuti Remotasks.

Hii tovuti inahusika na mambo ya kusoma na kuenhance data ili kufanya AI bora Zaidi. Mfano machine za kusoma receipt, menu, magari yanayojiendesha na kadhalika.

Kuna tasks kibao unazoweza fanya na wanalipa kwa njia ya paypal. Lakini tasks zinazolipa Zaidi ni zile za kuchakata data zilizokuwa captured na self-driven cars.

Kufanya hizi tasks unahitaji uwe na computer nzuri kidogo, bundle la kutosha na uwe na internet nzuri.

PC kuanzia GB 4 iwe na graphic card nzuri sana na ram kuanzia 4GB maana itadeal Zaidi na 3D modelling, ambapo itakuonyesha video za pande zote za gari ikiwa barabarani na objects inazopisha nazo, pia itakuonyesha LiDAR view maana magari yanayojiendesha yanatumia hii technology ya kutumia laser light kudetermine distance na shape ya object.

Sasa utapewa data ambazo gari imenasa computer na software ya gari ikazitafsiri, sasa wewe utatafuta penye makossa urekebishe hivyo hizo data zitasaidia kuifanya system iwe bora Zaidi. Utafanya kitu kinaitwa LiDAR annotion.

Jambo linguine ni kwamba lazima usome course zao upewe quiz upate 100% ndipo utaweza kupewa task.

Wanaofanya hizo kazi wako wengi hadi kuna form kama ukiwa na task hujaelewa unaweza kuuliza kwa members.

Malipo ni once per week via paypal.

Wanashauri ufanye walau 20 hours per week na malipo yanategemea na ukubwa wa task na jinsi ulivyoifanya hivyo inategemea na review.

Nimeashaanza fanya LiDAR ila niko second stage nafanya tasks za hapo nikiimaster nitaendelea ziko paka stage saba na kila stage ina malipo matamu Zaidi.

Kuna tasks nyingine unaweza kuanza nazo ambazo zinahusiana na vitu vyepesi kama kujua position ya sura na mkono wa dereva kwenye picha wakati anaendesha gari. Ila hizi hazina pesa ya maana utahangaika nazo nahisi ukipata pesa nyingi kwa week haiwezi zidi dollar 30.

Unaweza kuona picha hapa chini.

radar4.png


All the best freelancers.
 
Ukiona nimeandika thread ya kitu humu ujue nimeshakifanyia kazi uwa siwezi elekeza kitu ambacho mimi sijajaribu kukifanya na kuona matokeo.
Thanks brother. Kma kwenye mambo ya LiDAR inahitaji computer powerful kiasi gani?
 
Njia unazojua wewe ila iwe ni online..
Kazi ambazo wabongo wenyewe ndo wanahusika nazo.. tuseme labda Kuna app iliyotengenezwa hapa bongo mtu anaweza pata kazi na kulipwa n.k
 
mimi sijaelewa hapa mkuu hebu nieleweshe yan (gari imenasa computer na software ya gari ikazitafsiri) kivipi yan imenasa wapi

Sasa utapewa data ambazo gari imenasa computer na software ya gari ikazitafsiri, sasa wewe utatafuta penye makossa urekebishe hivyo hizo data zitasaidia kuifanya system iwe bora Zaidi. Utafanya kitu kinaitwa LiDAR annotion.
 
mimi sijaelewa hapa mkuu hebu nieleweshe yan (gari imenasa computer na software ya gari ikazitafsiri) kivipi yan imenasa wapi

Sasa utapewa data ambazo gari imenasa computer na software ya gari ikazitafsiri, sasa wewe utatafuta penye makossa urekebishe hivyo hizo data zitasaidia kuifanya system iwe bora Zaidi. Utafanya kitu kinaitwa LiDAR annotion.

Itakuwa vizruri ukijiunga ukala na course ndipo utaelewa. Hizo laser signals sometimes zinakuwa reflected vibaya au computer inatafsiri vibaya hizo data.

Hivyo inasababisha kutoa vitu vyenye makosa kidogo mfano unakuta gari ni refu au fupi kuliko uhalisia, so kuna factors zinakuwezesa kujua hilo na kurekebisa.

Pia unasaidia kutambua watu wallipo, signs za barabarani, maari mengine. Unayoyafanya yatakuwa fed upya kwenye system nayo itajifunza kuwa bor zaidi.
 
Hahaha hii ngoma ni ngumu kuliko freelancing zote, na mimi ni mmoja wao nimemudu Fiverr, but hii nilijaribu miezi kadhaa nyuma nafikiri ilikuwa mwezi wa tatu yaani hapa kama wewe ni mzembe wa kusoma kisha kufanya mtihani then task yaani utakomaje.

Nimekuwa nikimaliza kusoma na
kisha nafanya mtihani then napokea task but niliona browser ina count time alafu ni muda mfupi kulabel.

Nilifanya task za kulabel picture na kuidentify picha za magari zinazoingiliana. Mambo mengine nishasahau.
But siku nyingine ntajaribu.
 
Itakuwa vizruri ukijiunga ukala na course ndipo utaelewa. Hizo laser signals sometimes zinakuwa reflected vibaya au computer inatafsiri vibaya hizo data.

Hivyo inasababisha kutoa vitu vyenye makosa kidogo mfano unakuta gari ni refu au fupi kuliko uhalisia, so kuna factors zinakuwezesa kujua hilo na kurekebisa.

Pia unasaidia kutambua watu wallipo, signs za barabarani, maari mengine. Unayoyafanya yatakuwa fed upya kwenye system nayo itajifunza kuwa bor zaidi.

Nafaka, naomba links za zile freelancing websites zingine unazoweza kufanya kwa kutumia simu. Thanks in advance
 
Nafaka, naomba links za zile freelancing websites zingine unazoweza kufanya kwa kutumia simu. Thanks in advance
Mkuu kusema kweli mimi sijui freelancing site ambayo ni mahususi kwa watumiaji simu ila najua kuwa kwenye freelancing sites kam upwork.com, freelancer.com, na fiverr.com unaweza kutana na taks au ukatengeneza na gigs kwa fiverr.com ambazo hazitakuhitaji kutumia computer.
 
Back
Top Bottom