Njia nyingine ya ku earn pesa online kwa freelancers

Inahitaji usiwe mvivu wa kusoma na usiwe na computer legelege la sivyo huwezi kuifanya hiyo lidar labda izo tasks za kulabel receits na kuweka mabox kwenye sura na mikono ambazo hazina ela ni upotevu wa muda tu.
 
Nashukuru sana mkuu
 
Inahitaji usiwe mvivu wa kusoma na usiwe na computer legelege la sivyo huwezi kuifanya hiyo lidar labda izo tasks za kulabel receits na kuweka mabox kwenye sura na mikono ambazo hazina ela ni upotevu wa muda tu.
Naam, mimi nafikiri shida ni hiyo.

Kingine nimeona wakati mwingine inatakiwa kuwa na unafahamu mdogo wa concept za AI kiasi flani hivi yaani kuna misamiati inaweza kukuchanganya kama hauandiki pindi unaposoma.
 
Naam, mimi nafikiri shida ni hiyo.

Kingine nimeona wakati mwingine inatakiwa kuwa na unafahamu mdogo wa concept za AI kiasi flani hivi yaani kuna misamiati inaweza kukuchanganya kama hauandiki pindi unaposoma.
Kwanza mimi uwa nacheat, formula ya kucheat zile quiz zao ni kuhakikisha unapata masuli matatu ya mwanzo then ukikosa rudi nyumba mpaka kwenye video halafu uanze tena kurudi kwenye quiz maswali yote itakuwa inakupa correct hata kama hujaselect.
 
Kwanza mimi uwa nacheat, formula ya kucheat zile quiz zao ni kuhakikisha unapata masuli matatu ya mwanzo then ukikosa rudi nyumba mpaka kwenye video halafu uanze tena kurudi kwenye quiz maswali yote itakuwa inakupa correct hata kama hujaselect.
Hii sikuigundua aiseh dah nitajaribu leo
 
Vijana tafuteni kazi za maana za kufanya hizi kazi za kibishoo sijui online hazina dili bongo mtazeeka masikini.
Online kazi unapiga tu kma freelancer na unapata hela vizuri. Tatizo online hawataki kazi za kulipua lipua tulizoea huku bongo ndo maana watu hawapati hela. Ukipiga kazi ya maana hela unapata vizuri tu
 
Hela ya mtandaoni si lelemama!!
Inabidi mtu atafute anakofit.... Naona watu wanakomaa na survey, yani mtu anafanya survey ya kutosha kwa kujibu maswali anaishi pewa less than a dollar. Hii kwakweli mimi siwezi maana ni kupoteza muda.
Kampuni ambayo inalipa pesa nzuri kwa survey ni Kantar, $80 kwa kujibu maswali 15 plus $20 kama charges utakazokumbana nazo wakati wa kuhamisha pesa.
 
Weka na website yao tukafanye registration.
Mkuu njia yao ya kuregister siku hizi siyo through website, but ni via portal yao ambayo nako inabidi uwe umefanya nao siku za nyuma unamili login credentials huko ndiko unaweza mpendekeza mtu nako hiyo option inafanya kazi tu pale wanakokuwa wanataka watu wengine.
 
mkuu Remotasks kwenye kuverify kwa njia ya sms hawajanitumia codes tangu juzi na hakuna hata sehemu ya kuresend code wewe mkuu ulifanyeje kupita hyo hatua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…