Njia panda ya Rais Samia

Swali tu ni lazima awe rais?

Mambo mengine ni upuuxi Na ubatili mtupu. Oooh ondoa sukuma gang oooh wanamuhujumu ohhh shit. Hiyo ndo kazi yake sisi wapumbavu Ndo tunajifanya wajuaji wa mambo that’s stupidity. Hakuna urais rojooo hata alete watu toka wapi wezi hawakosekani. Chadema wenyewe wanaibiana ruzuku. Act wazalendo ndo hovyo kabsaa.

So let’s shut our mouths Na tumuache mheshimiwa rais atimize wajibu wake. Urais siyo lelemama Na hajalazimishwa.
 
Sukuma gang wanamtesa sana hajui awatose au aishi nao kwa akili.
 
Akiweza kuacha katiba mpya iliyo bora ndio itakuwa legacy yake.
Kitaalamu tunaiita MALALAMIKO KANTRI.
Wananchi wanalalamika TOZO, wananchi wanalalamika UMEME, wananchi wanalalamika MAJI, machinga wanalalamika biashara zao kuharibiwa na Rais analalamika anaangushiwa jumba bovu, nani wa kumfariji mwenzie katika nchi hii..Nchi ngumu sana hii

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Du, sema tu kazi ya urais ni ngumu kwa sababu sehemu kubwa ni watu wa ndani hukohuko. Yeye ataondoka na kuwaacha wakiendelea na kazi zingine.
 
Mie naona mistake aliyoifanya Ni kutokuvunja Baraza la mawaziri alilolirithi.

Ilikuwa alivunje hata Kama wengine angewarudisha.
Kwani mkuu si amebadilisha mara kwa mara ndio hao akina marope
 
Mbona mama ameshatoa mikeka ya kutosha tu ya mawaziri na manaibu hadi ya wakuu wa wilaya ametoa au na hao anowaweka siyo wa kwake na kama cyo wa kwake kwa nn anashindwa kutumia power yake
Hivi kumbe hawezi kutumia power yake kuwanyoosha watendaji walioteuliwa na mtangulizi wake? Maajabu haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…