okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Mkuu vipi tumlaumu mbowe?Hai kuna mashimo barabarani hadi mtu unaweza kujificha humo usionekane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vipi tumlaumu mbowe?Hai kuna mashimo barabarani hadi mtu unaweza kujificha humo usionekane
SawaSifuti hata kwa mtutu
Haya mambo waachie wakubwaWeka ushahidi wa hiyo hati ya Makubaliano ya Kumununua Waitara.Vinginevyo n propaganda na CDM tunaitafuta rasmi 2020
Tumlaumu mbunge waoMkuu vipi tumlaumu mbowe.??
Wamekimbia kwa sababu wengi wao wamekata tamaa, kwa kuwa wanajuwa kwamba hata vyama vengine vikiwateuwa na wananchi kuwachaguwa kwenye sanduku la kura, hawana uhakika wa kuchaguliwa kutokana na rafu zenu CCM. Hebu fanyeni tume huru halafu mruhusu uchaguzi uwe huru na wa haki muone kama kuna atakaeondoka kwenye upinzani wa kweli.Ufipa mnajipa faraja, hadi mnatia aibu. Chama kinazidi kukimbiwa na wabunge na wanachama, bado tu mnamsapoti DJ? mwambieni ukweli chama kinakufa hicho,
Used n dumpedNa wengi tu watatoswa maana watakuwa hawana thamani tena.
Unachokisema ndugu ni kweli kabisa lakini tutambue ccm wamedhamiria kutopoteza jimbo lolote ( bao la mkono). Kwahiyo kitakachombeba si "viti maalum" bali ni kupitishwa kuwa mgombea kutokana na maamuzi "kutoka juu".Huyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .
Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.
Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Tumlaumu mbunge wao
Naonea huruma Heche na Matiko kwani yawapasa kutoka Bungeni kuridisha majimbo CCMHuyu Jamaa kwa sasa ni naibu waziri Tamisemi, aliingia bungeni kwa mbeleko ya Chadema 2015, kabla ya "kununuliwa" na ccm kwa bei ya kushangaza, ambapo kwenye hati ya makubaliano (nimeiona) kulikuwa na kipengere cha unaibu waziri .
Hata hivyo mambo yamembadilikia na kwa sasa hakuna jimbo lolote analoweza kushinda ubunge hata kama atapelekwa kwenye majimbo yenye wapiga kura duni ya Mkoa wa Dodoma, hii ni baada ya kushindwa kuiendeleza Ukonga , huku akiwanunulia bia watu wote wanaohoji ubovu wa barabara, (wewe kunywa bia barabara itakusaidia nini?), hata Tarime ambako ndio kwao hawataki hata kumsikia, na hivi karibuni alihojiwa na CCM Mkoa wa Mara kwa kuanza kujipitisha kabla ya wakati.
Njia pekee ya Waitara kuwa Mbunge ni kuomba huruma ya kuteuliwa viti maalum na Rais iwapo CCM iliyokaliwa kooni na wananchi kutokana na ugumu wa maisha itashinda Urais.
Huyu Mwita kaicharaza Chadema mngejibu hoja na sio kulialiakila siku siyo jumapili .
Erythrocyte , woooooote walionunuliwa/waliosalititi vyama vyao , wanategemea ule ushenzi wa uchaguzi wa serikali za mitaa utafanyika na hivyo kupita bila kipingamizi/kuwabeba. Ni hilo tu! Wanadhani Jiwe atafanya hivyo. Short of that hakuna atakayepita wote walionunuliwa na Jiwe watabwagwa . Ninachoamini ni kuwa watanzania hawajapenda haya ya kununulwa!.Na wengi tu watatoswa maana watakuwa hawana thamani tena.
Kila siku chama kinakufa, ya Nini polisi kusumbuka na kitu kinachokufaUfipa mnajipa faraja, hadi mnatia aibu. Chama kinazidi kukimbiwa na wabunge na wanachama, bado tu mnamsapoti DJ? mwambieni ukweli chama kinakufa hicho.
Akikujibu nistueKila siku chama kinakufa, ya Nini polisi kusumbuka na kitu kinachokufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Majaliwa harudi vilevile
- Jibuni hoja zake acheni upigaji wa ramli. Hata Mbowe harudi bungeni vilevile.