Njia rahisi ya kumtongoza mwanamke aliekuzidi umri

Njia rahisi ya kumtongoza mwanamke aliekuzidi umri

Nimetongozwa na ka underage jana,nikamwambia hivi unavyoniona unaweza nunua perfume ninayopaka?we mtoto mimi silei mtoto wa mwanamke mwenzangu.......Nikasema rohoni angjua ninavyopenda hela naweza nikamkubali nikauze Figo zake shenzy sana
 
Nimetongozwa na ka underage jana,nikamwambia hivi unavyoniona unaweza nunua perfume ninayopaka?we mtoto mimi silei mtoto wa mwanamke mwenzangu.......Nikasema rohoni angjua ninavyopenda hela naweza nikamkubali nikauze Figo zake shenzy sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kape nafasi tu kawe kanakufyonzafyonza K.
Kama hakawezi kununua perfume naimani katakua na ustadi mkubwa wa kupiga deki.
 
MKuu nitag kwenye hiyo stori yako jinsi ulivyokula kimasihara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilipost mwaka jana au juzi, sasa hivi uzi wa masihara una milage kubwa sana, ila nikibahatika kukutana nayo nitaicopy na kuipest humu maana ni kastory flani hivi amizing sana.
 
Nimetongozwa na ka underage jana,nikamwambia hivi unavyoniona unaweza nunua perfume ninayopaka?we mtoto mimi silei mtoto wa mwanamke mwenzangu.......Nikasema rohoni angjua ninavyopenda hela naweza nikamkubali nikauze Figo zake shenzy sana
Jo utakuwa una shepu la chungu

Angesema anayo hiyo hela je?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilipost mwaka jana au juzi, sasa hivi uzi wa masihara una milage kubwa sana, ila nikibahatika kukutana nayo nitaicopy na kuipest humu maana ni kastory flani hivi amizing sana.
Fanya namna nikapitie
 
Hii ni serious wala sio masihara, me hii inanikuta sana, kila dem ninaesex nae lazima maisha yake yanyooke

Naombeni elimu na ufafanuzi juu ya hili fumbo nililofumbwa

Mwenye uelewa anielezee , maana nikiwaelezea hapa JF kuhusu maisha ya maEx zangu na maisha yangu kwa sasa yako tofauti kabisa, hata kuwasogelea tu maana wameshakua high level zaidi yangu
 
Hii ni serious wala sio masihara, me hii inanikuta sana, kila dem ninaesex nae lazima maisha yake yanyooke

Naombeni elimu na ufafanuzi juu ya hili fumbo nililofumbwa

Mwenye uelewa anielezee , maana nikiwaelezea hapa JF kuhusu maisha ya maEx zangu na maisha yangu kwa sasa yako tofauti kabisa, hata kuwasogelea tu maana wameshakua high level zaidi yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe utakua na nyota ya kuwaneemesha wenzio, yaani watu wananeemeka kupitia nyota yako halafu wewe uko palepale.
Mimi kuna demu mmoja nilikua nae, siku nikimgonga hata kama ni jumapili lazima nipate dili la pesa ya maana, pia akinipiga mzinga lazima siku hiyohiyo nitaingiza pesa zaidi ya mara 10 ya niliyompa, pamoja na ubahili wangu lakini kuna kipindi mwenyewe natamani aniombe hela ingawa demu mwenyewe hakua mtu wa kuombaomba(kausha damu) siku akiomba ujue anashida kweli.

Kwa upande wangu pia nikianzisha uhusiano na mwanamke basi nyumbani kwao posa hua hazikauki hata kama demu mwenyewe ni single mother, mademu zangu wengi wanaolewa tukiwa kwenye mahusiano( hii sio promo na wala sitaki dm ya mtu yoyote)
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe utakua na nyota ya kuwaneemesha wenzio, yaani watu wananeemeka kupitia nyota yako halafu wewe uko palepale.
Mimi kuna demu mmoja nilikua nae, siku nikimgonga hata kama ni jumapili lazima nipate dili la pesa ya maana, pia akinipiga mzinga lazima siku hiyohiyo nitaingiza pesa zaidi ya mara 10 ya niliyompa, pamoja na ubahili wangu lakini kuna kipindi mwenyewe natamani aniombe hela ingawa demu mwenyewe hakua mtu wa kuombaomba(kausha damu) siku akiomba ujue anashida kweli.

Kwa upande wangu pia nikianzisha uhusiano na mwanamke basi nyumbani kwao posa hua hazikauki hata kama demu mwenyewe ni single mother, mademu zangu wengi wanaolewa tukiwa kwenye mahusiano( hii sio promo na wala sitaki dm ya mtu yoyote)
Wewe kuna kitu unatafuta hapa ahahahahahha alaaaaah
 
Back
Top Bottom