Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tawileeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama wewe ni mwanamke ama mwanaume, tumia njia hii kupata mume/mke pale unapokutana na mtu aliyeuteka moyo wako, na umwambie hivi:-
Kwa mwanaume: - 'Kuna sauti inaniambia wewe ndio mke wangu'
Kwa mwanamke:- 'Kuna sauti inaniambia wewe ndio mume wangu'
Unapokuwa unamwambia, uwe siriazi na uwe na tabasamu la mbali; baada ya hapo utaona ameshikwa na mshangao na ataongea kwa hisia. Kama yuko 'single' utakuwa umejinyakulia ushindi.
Trick ya kijanja kabisa hiiKama wewe ni mwanamke ama mwanaume, tumia njia hii kupata mume/mke pale unapokutana na mtu aliyeuteka moyo wako, na umwambie hivi:-
Kwa mwanaume: - 'Kuna sauti inaniambia wewe ndio mke wangu'
Kwa mwanamke:- 'Kuna sauti inaniambia wewe ndio mume wangu'
Unapokuwa unamwambia, uwe siriazi na uwe na tabasamu la mbali; baada ya hapo utaona ameshikwa na mshangao na ataongea kwa hisia. Kama yuko 'single' utakuwa umejinyakulia ushindi.
Chakarika upate mke wa kukupikia pilau siku ya x-masHuyu bado mtoto kabisaa mana hizi ndo michezo ys kibaba na kimama.
Ukifanikisha ulete mrejeshoSema tawileeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kuna sauti inaniambia wewe ni danga languChakarika upate mke wa kukupikia pilau siku ya x-mas
Siku hiyo hiyo mnamalizana,baada ya hapo hakuna kuhudumiaKuna sauti inaniambia wewe ni danga langu
Unafeli wapi mkuu, angalia mwaka usiishe ukiwa peke yakoDogo unazingua sikufichi bamjoli
Kuna wengine wanataka mapenzi ya kweli, kama unatafuta mke usitangulize pesaTafuta pesa ww uwe una wambia kuna milion apa ya shoping pitia apo ktk tigo pesa yako uwone mlejesho wa majabu ya dunia!
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
kwenye mapenzi sio lazima pesa dingiTafuta pesa ww uwe una wambia kuna milion apa ya shoping pitia apo ktk tigo pesa yako uwone mlejesho wa majabu ya dunia!
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
ushaisha huu mzee labda nicheki mwakani tena dingiUnafeli wapi mkuu, angalia mwaka usiishe ukiwa peke yako