Njia rahisi ya kutotolesha vifaranga vingi bila kutumia mashine (incubators)

Barikiwa
 
Sijaelewa kitu hapo.. Ina maana KUKU baada ya siku 21 anaendelea kuatamia mayai mengine bila kuchoka??? Duh mm nilijuwa akimaliza kutotoa nimpaka atage tena na ndy atamie tena .Hebu nielimishe hapo
Isitoshe kuku anakawaida ya kususa. Maneno na matendo si sawa. Kwa maneno, ghorofa litajengwa bali kwa matendo kazi kweli kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…