Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

WAAFRIKA NI WAJINGA SANA!,HIVI KUNA BINADAMU WANAOSHIRIKIANA NA MAJINI KULIKO WAZUNGU???
N.B.
****
ISHINI SEHEMU NA NCHI MBALIMBALI MUONE MAAJABU
ii

Wafungue akili hawa mzungu ni mtu ambaye ana hakikisha hafikiwi na race yoyote ile kimaendeleo atatoa njia za kupotosha na kuficha baadhi ya elimu ili tu asifikiwe. mzungu wa kumuamini ni aliyekufa tu
 
ASILI ya malaika si wanaume wala si wanawake isipokuwa wamepewa uwezo wa kujibadilisha umbo lolote.Na mara nyingi wanapotokea huja na taswira ya kiume.

unaweza kunipa andiko?
 
Hapa hakuna cha Damu ya Yesu wa Nazarethi wala damu yako Mkuu Kaunga Hapa ni mahali pa kumuita Jini na kutaka kuzungumza nae na umwambie shida zako ili akutekelezee unavyotaka.
 
Last edited by a moderator:
mangatara kuna sehemu moja ndiyo inayochekesha zaidi kwenye huu uzi
baada ya kuyakurupusha hayo MAZOMBI inabidi umpigie simuMziziMkavu

sasa watu wangapi watampigia simu ndani ya wakati mmoja?Na kama asipokuja utayambia nini hayo MAJITU?
Simu yangu ina uwezo wa kuwasikiliza watu 3 kwa wakati mmoja usiwe na wasiwsi wewe muite huyo Jini akija tu nipigie hiyo namba yangu na mimi nitakuja kukusaidia. Mkuu einstein newton
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…