einstein newton
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,969
- 2,674
einstein newton;
Yaani masharti ya hawa jamaa wenye kujiona wamebobea kiuganga ni magumu sijawahi ona. Hapo sasa, wawe wameyaitisha hayo makitu, mara ghafula yameingizana. Uanze kuutafuta mtandao wa Voda, umechukua lisaa, hiyo nyumba MziziMkavu, si tutakuachia?
Teh teh teh
Ila Mkuu usikate tamaa,jaribu tu
sikasema ni Jini Mpole?hana madhara huyo...
teh teh teh