Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Malaika wa kike wapo ila hawahitajiki kuitwa kwa kuwa hawaishi gizani na hawana mawaa kwahiyo wapo na tunao katika maisha yetu ya kila siku kila saa kila dakika na kila sekunde
Tunaambiwa Mara nyingi kuna malaika mlinzi lakini je ulishawahi kusikia kuhusu jini mlinzi?

najaribu kuelewa ila nashindwa, kwa kuwa siwaoni ningependelea kuwaona kufikisha yangu ya moyoni kwa malaika, kama atanielewa.
mu majini siwaamini kivile, hata vitabu vinatutaadharisha.
 
najaribu kuelewa ila nashindwa, kwa kuwa siwaoni ningependelea kuwaona kufikisha yangu ya moyoni kwa malaika, kama atanielewa.
mu majini siwaamini kivile, hata vitabu vinatutaadharisha.

Malaika ni roho kwahiyo huwezi kumuona lia kumbuka ni mara ngapi umeepushwa na mambo mabaya? Mengine hata huwezi kukumbuka...hapo malaika mlinzi alifanya yake
 
Ukikata YESU aje akusikilize shinda zako nakutatulie matatizo yako Omba rehema kama kwa kuomba msamaha wa dhambi yako ili uwe na kibari mbele yake. Kisha anza kwa kuimba nyimbo za kumsifu yeye .kisha fanya maombi ukimaliza peleka shida yako Mbele zake ukiwa na maneno ya biblia .kwa mfano unataka mafanikio .omba huku ukisema kupitia vifungu vya biblia kwamba Mungu umesema sitakuwa mkia bali nitakuwa kichwa.umesema sitakopesha bali nitakopesha mataita.ukifanya hv kwa iman huku ukiwa na mazoea ya kutoa sehem ya kumi la kipato chako kanisani utafanikiwa bila kutumia dawa zozote.ubarikiwe
 
Aisee.
Two wrongs don't make it right maana yake ni makosa mawili hayafanyi kitu kiwe sahihi. Sasa ukishaelewa maana ya hio statement rudi usome kama ulichoandika kina leta maana yeyote ile.

you are quite wrong
1.two wrongs don't make it right

2.two wrongs don't make right one
those two statements have different meaning
[case closed]

by the way,my argument wasn't based on either statements above
the central maxim of my argument was reinforced by third sentence in form of question;
"the right one can't make wrong?"

so rudi tena usome ulichokiandika..!
 
teh teh teh

hiyo ndiyo akili Mtu mweusi,wakati whites wanatengeneza time machine,black anamtafuta "jini mpole".......i'm quite dumbfounded

Donald trump was right...!

Hahahahahahahaaa? nmecheka sn kw donald trump yan mwonekano wake na maneno yake vinaendana kabsa.
 
Yule jamaa nnazpenda sn hotuba zake? nikitaka kucheka nnaingia youtube# kuanzia sura yke na maneno yke vinaendana.
 
Wapendwa watanzania na wengine kwa ujumla,kwa wale wasiojua kwa undani mambo ya mtandao na mengine.
tusiwe wepesi kuamini vitu vinavyowekwa katika mitandao,wanaoweka ni watu kama sisi na hatujui nia na madhumuni yao ni nini.Tuko katika information age,there is a lot of information and sources of information.But my question to you is how reliable is your source of those information?
Hizi elimu zina siri imefichika nyuma yake,kwa lugha nyepesi watu wanachofanya sasa ni kama swala anachezea masharubu ya simba.Ni hatari sana,ukirest in peace huko shauri yako.Angalieni maswali tunayowauliza hawa watu hawayajibu,wanakwepa kwani wanajua wanachokifanya.
Mungu anahitaji watu afanye nao kazi,hata yule adui naye anatumia watu kufanya kazi zake,tena wanaweza kuja kwa gia nzuri na mambo mazuri ili kukuteka kirahisi.Mwenye masikio na asikie,kuna shirika gani kati ya nuru na giza?Usije ukawa kama kondoo anayepelekwa machinjioni kupitia eneo lenye marisho mazuri.
 
Malaika wa kike wapo ila hawahitajiki kuitwa kwa kuwa hawaishi gizani na hawana mawaa kwahiyo wapo na tunao katika maisha yetu ya kila siku kila saa kila dakika na kila sekunde
Tunaambiwa Mara nyingi kuna malaika mlinzi lakini je ulishawahi kusikia kuhusu jini mlinzi?
Mkuu sitaki ni conclude lakini kwa ufuatiliaji wangu wa haya mambo,malaika wote ambao walishawahi kutokea kwa watu au tumesoma habari zao gender yao ni masculine,naomba reference kutoka kitabu chochote kile Bible,Quran au cha mwandishi yeyote(reliable) ambapo pametajwa kuna malaika wa kike.
Baadhi ya majina ya malaika wanaojulikana ni Michael, Gabriel, Lucifer .usikwepe swali mkuu napenda nijifunze unayoyajua naamini yatanisaidia kwa kazi yangu.
 
Mkuu sitaki ni conclude lakini kwa ufuatiliaji wangu wa haya mambo,malaika wote ambao walishawahi kutokea kwa watu au tumesoma habari zao gender yao ni masculine,naomba reference kutoka kitabu chochote kile Bible,Quran au cha mwandishi yeyote(reliable) ambapo pametajwa kuna malaika wa kike.
Baadhi ya majina ya malaika wanaojulikana ni Michael, Gabriel, Lucifer .usikwepe swali mkuu napenda nijifunze unayoyajua naamini yatanisaidia kwa kazi yangu.

Ni sahihi kabisa lakini kwa kuwa malaika ni roho anaweza kukujia kwa umbo lolote lile,Hafungwi na nira za jinsia ni kama kwenye Buddhism yule Kuan iyi pussa na bodhisattvas wanakuja kwa mambo ya kike na kiume kutegemeana na shida husika
Hawa bodhisattvas hawana tofauti na malaika kwenye hizi imani nyingine
 
Ni sahihi kabisa lakini kwa kuwa malaika ni roho anaweza kukujia kwa umbo lolote lile,Hafungwi na nira za jinsia ni kama kwenye Buddhism yule Kuan iyi pussa na bodhisattvas wanakuja kwa mambo ya kike na kiume kutegemeana na shida husika
Hawa bodhisattvas hawana tofauti na malaika kwenye hizi imani nyingine
Sorry hao Kuan iyi pussa na bodhisattvas katika Buddhism ni malaika au?
Mkuu Yehova ameeleza katika kitabu chake,hapakuwa na malaika aliye tumwa mwanamke si kwamba napingana na maelezo yako.swali langu ni hata Christians wanajua kuna mambo mengi yasiyojulikana amabayo roho mtakatifu huwafunulia watu.nachotaka kujua kwako hii elimu ya kuna malaika wa kike,kama ulisoma sehemu au uliambiwa ulifunuliwa na roho mtakatifu au kitu gani kilikupa hii elimu?Na kama ni mtu mwingine alikuwa na huu ufahamu wa malaika wa kike nani alimfunulia kumbuka,falme zote zinatumia wanadamu.
Kumbuka tuna falme mbili mmoja wa giza mwingine wa nuru,na falme zote hizi zinahitaji roho za wanadamu aidha kuziponya au kuziangamiza.
 
Sorry hao Kuan iyi pussa na bodhisattvas katika Buddhism ni malaika au?
Mkuu Yehova ameeleza katika kitabu chake,hapakuwa na malaika aliye tumwa mwanamke si kwamba napingana na maelezo yako.swali langu ni hata Christians wanajua kuna mambo mengi yasiyojulikana amabayo roho mtakatifu huwafunulia watu.nachotaka kujua kwako hii elimu ya kuna malaika wa kike,kama ulisoma sehemu au uliambiwa ulifunuliwa na roho mtakatifu au kitu gani kilikupa hii elimu?Na kama ni mtu mwingine alikuwa na huu ufahamu wa malaika wa kike nani alimfunulia kumbuka,falme zote zinatumia wanadamu.
Kumbuka tuna falme mbili mmoja wa giza mwingine wa nuru,na falme zote hizi zinahitaji roho za wanadamu aidha kuziponya au kuziangamiza.

Naona bado hujanielewa mahali nimesema kwanza malaika hawezi kuonekana kwa kuwa ni roho pili nikasema roho inaweza kujivika umbo lolote lile au la jinsia yoyote ile
 
Malaika wa kike wapo ila hawahitajiki kuitwa kwa kuwa hawaishi gizani na hawana mawaa kwahiyo wapo na tunao katika maisha yetu ya kila siku kila saa kila dakika na kila sekunde
Tunaambiwa Mara nyingi kuna malaika mlinzi lakini je ulishawahi kusikia kuhusu jini mlinzi?

Hivi malaika wanahitaji Jinsia ili wazifanyie nini??
umejuaje kuwa wapo?
Malaika nao pia wana majukumu ya kazi kulingana na jinsia?
 
Hivi malaika wanahitaji Jinsia ili wazifanyie nini??
umejuaje kuwa wapo?
Malaika nao pia wana majukumu ya kazi kulingana na jinsia?

Hawahitajiki kuwa hivyo na si lazima lakini kuna wakati huvaa hayo maumbo
 
Naona bado hujanielewa mahali nimesema kwanza malaika hawezi kuonekana kwa kuwa ni roho pili nikasema roho inaweza kujivika umbo lolote lile au la jinsia yoyote ile
Mkuu nimekuelewa labda kama swali limekuwa gumu niliulezi kwa njia nyingine.nakubaliana na malaika kuwa roho hayo najua tangu utoto wangu,nilichotaka kujua kutoka kwako wala sikukataa uwezekano wa malaika kuwepo wa kike direct kwani hata kwenye bible walikuwa wanahesabiwa wanaume tu.Nilichotaka kujua kutoka kwako,inawezekana hata Yehova alikuwa nao malaika wa kike ila hakuwahi kuwatumia na labda hata watumia kwani hatujawahi sikia,wewe elimu ya kwamba kuna malaika wa kike aliyekupa alifunuliwa na roho mtakatifu au aliambiwa na nani?Kumbuka hao ni spirit,ni lazima kuna spirit ilicommunicate na mwanadamu au walimtokea mtu.
Kuhusu wao kuwa spirit na kuweza kuchukua jinsia yeyote concern yangu mbona wakati wa zamani hawakuwahi kuchukua hiyo ya kike,kwani malaika wote tuwajuao kwa majina gender ni masculine.
How reliable is your source of information?
 
Mkuu nimekuelewa labda kama swali limekuwa gumu niliulezi kwa njia nyingine.nakubaliana na malaika kuwa roho hayo najua tangu utoto wangu,nilichotaka kujua kutoka kwako wala sikukataa uwezekano wa malaika kuwepo wa kike direct kwani hata kwenye bible walikuwa wanahesabiwa wanaume tu.Nilichotaka kujua kutoka kwako,inawezekana hata Yehova alikuwa nao malaika wa kike ila hakuwahi kuwatumia na labda hata watumia kwani hatujawahi sikia,wewe elimu ya kwamba kuna malaika wa kike aliyekupa alifunuliwa na roho mtakatifu au aliambiwa na nani?Kumbuka hao ni spirit,ni lazima kuna spirit ilicommunicate na mwanadamu au walimtokea mtu.
Kuhusu wao kuwa spirit na kuweza kuchukua jinsia yeyote concern yangu mbona wakati wa zamani hawakuwahi kuchukua hiyo ya kike,kwani malaika wote tuwajuao kwa majina gender ni masculine.
How reliable is your source of information?

Binafsi sijawahi kumwazia malaika in the sense of gender, kwa kuwa nijuavyo ni roho na anaweza kuvaa umbo lolote....lakini pia wakati wa Bible waliohesabiwa ni wanaume tu hii haimaanishi kwamba wanawake hawakuwepo
 
Back
Top Bottom