Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Kuna nyuzi kabla ya kufungua wala kukoment inabidi ujifunike na Damu ya Yesu. Hii ni moja wapo, msipoangalia mnaweza kuwa connected kwenye cult ya mleta mada hivi hivi.

Naharibu na kuteketeza nia, mpango, madhumuni yalio nyuma ya uzi huu kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth na Moto wa Roho Mtakatifu.
Naituma Damu ya Yesu Krito kuteketeza madhabahu anayoitumia mleta mada na ninamtia upofu na uwete kuhani wa madhabahu hiyo kwa Damu ya Mwanakondoo wa Mungu ambaye ndiye Kuhani Mkuu.

Naifunika comment hii kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth.

Amina.
 
Kuna nyuzi kabla ya kufungua wala kukoment inabidi ujifunike na Damu ya Yesu. Hii ni moja wapo, msipoangalia mnaweza kuwa connected kwenye cult ya mleta mada hivi hivi.

Naharibu na kuteketeza nia, mpango, madhumuni yalio nyuma ya uzi huu kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth na Moto wa Roho Mtakatifu.
Naituma Damu ya Yesu Krito kuteketeza madhabahu anayoitumia mleta mada na ninamtia upofu na uwete kuhani wa madhabahu hiyo kwa Damu ya Mwanakondoo wa Mungu ambaye ndiye Kuhani Mkuu.

Naifunika comment hii kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth.

Amina.

ameeen
 
Kuna nyuzi kabla ya kufungua wala kukoment inabidi ujifunike na Damu ya Yesu. Hii ni moja wapo, msipoangalia mnaweza kuwa connected kwenye cult ya mleta mada hivi hivi.

Naharibu na kuteketeza nia, mpango, madhumuni yalio nyuma ya uzi huu kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth na Moto wa Roho Mtakatifu.
Naituma Damu ya Yesu Krito kuteketeza madhabahu anayoitumia mleta mada na ninamtia upofu na uwete kuhani wa madhabahu hiyo kwa Damu ya Mwanakondoo wa Mungu ambaye ndiye Kuhani Mkuu.

Naifunika comment hii kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth.

Amina.

Damu ya yesu inakulinda na fitina za shetani?
 
fikiri ndani ya box kabla ya kutoka humo, chanzo cha wamoefili (majitu) ni wana wa Mungu (malaika) kuwaka tamaa kwa mabinti wa Adam waliozidi kuwa warembo.

Ndiyo hivi mnavyoifafanua Biblia?

kuwaka tamaa ni kutenda Dhambi kulingana na zile Amri kumi zilizotolewa.
kuvunja amri za Mungu ni kumuasi huyo Mungu.kwahiyo hao Malaika uliyowataja walimuasi mungu wakiwa duniani

Sasa,unaweza kuniambia ni Malaika gani waliomuasi mungu hapa duniani?

Usiniambie ni Mashetani,kwasababu shetani na wenzake waliasi zamani sana wakiwa Mbinguni na si Duniani.
 
Malaika si wanawake wala si wanaume,hawali wala hawanywi,na wala hawana matamanio.Hawana sifa ya kumuasi Mwenyezi Mungu na wanafanya kila wanachoaagizwa na Mola wao,Hawa wametakaswa;hawashiriki kwenye batili.

umetudanganya....katika stori ya sodoma na gomora wale malaika wsliotaka kuliwa kiboga walikuwa wa kike ama wa kiume...na je muda wote ule walio ishi pale kwa ruthu mbona tuliambiwa walikaribishwa wakawa wanakula na kunywa??
 
Nilitarajia ungeuliza hilo mkuu! NI kweli walikua wanaume.Moja ya uwezo mkubwa waliopewa hawa malaika ni KUJIBADILISHA UMBO LOLOTE wanalotaka kulingana muktadha husika.Hawatokei mahali kwa maumbo yao ya asili.

walioleta hukumu ya sodoma wanaume,
aliyekuja kutangaza kuzaliwa samsoni mwanaume,
aliyepigana na yule aliyetoka kumuoa binamu yake mwamaume,
.
.
.
unaweza kuendelea hivyo siku nzima, unaweza nipa mfano walipokuja kwa umbo au jinsia nyingine?
 
Ndiyo hivi mnavyoifafanua Biblia?

kuwaka tamaa ni kutenda Dhambi kulingana na zile Amri kumi zilizotolewa.
kuvunja amri za Mungu ni kumuasi huyo Mungu.kwahiyo hao Malaika uliyowataja walimuasi mungu wakiwa duniani

Sasa,unaweza kuniambia ni Malaika gani waliomuasi mungu hapa duniani?

Usiniambie ni Mashetani,kwasababu shetani na wenzake waliasi zamani sana wakiwa Mbinguni na si Duniani.

uchambuzi wako unajichanganya, nimeshindwa kukuelewa.
 
umetudanganya....katika stori ya sodoma na gomora wale malaika wsliotaka kuliwa kiboga walikuwa wa kike ama wa kiume...na je muda wote ule walio ishi pale kwa ruthu mbona tuliambiwa walikaribishwa wakawa wanakula na kunywa??

Kwanza nasisitiza tena kwamba malaika HAWALI na wala HAWANYWI.
Pili tambua kwamba malaika wamepewa uwezo na Mwenyezi Mungu wa kujibadilisha umbo lolote kutegemea na muktadha husika.Na mara nyingi huja na taswira mwanadamu mwanaume.Sasa walipokwenda kwa nabii Lut walikua na taswira ya kiume na hawakula chochote zaidi ya kumueleza nabii Lut kusudio la ujio wao.
Tatu hapo kwa nabii Lut walikaa kwa masaa kadhaa tu kwani balaa lilishuka hapo Sodom alfajiri ya siku iliyofuata.
 
walioleta hukumu ya sodoma wanaume,
aliyekuja kutangaza kuzaliwa samsoni mwanaume,
aliyepigana na yule aliyetoka kumuoa binamu yake mwamaume,
.
.
.
unaweza kuendelea hivyo siku nzima, unaweza nipa mfano walipokuja kwa umbo au jinsia nyingine?

ASILI ya malaika si wanaume wala si wanawake isipokuwa wamepewa uwezo wa kujibadilisha umbo lolote.Na mara nyingi wanapotokea huja na taswira ya kiume.
 
Sijasema unakurupuka kaka! Huwa naheshimu mawazo ya watu kwa sababu binadamu tunafautiana kwa mambo mengi.
Lucifer SIO malaika.Lucifer au shetani ni JINI.Alichukuliwa kwenda kuishi na malaika sababu ya uchamungu wake kabla ya kuasi.Historia yake ni ndefu sana ya kwa nini akaishi na malaika na ilikuaje akaasi na kulaaniwa.
Mkuu sorry,nilikuwa sijajua unachokiamini wewe nimeshafahamishwa na wadau.Sasa nilichoandika kwa imani na ufahamu wako hakitakuwa sahihi,uko sahihi kutokana na imani yako.My apology.
 
G T.mzizi mkavu mm nataka kama kweli unauwezo wa kunipatia jini linifanyie kazi yangu moja tu tena kwa mara moja basi njoo pm na useme ni kiasi gani nikulipe lkn sitokulipa mpaka anifanyie kazi yangu na ifanikiwe.hapa kazi tuuuu sijui kwako@mzizi mkavu
 
teh teh teh

hiyo ndiyo akili Mtu mweusi,wakati whites wanatengeneza time machine,black anamtafuta "jini mpole".......i'm quite dumbfounded

Donald trump was right...!

Culture ziko differ hata rangi pia si vibaya kuwaiga wenzetu lakin sio kuachq vya kwetu na kuvidharau hio tech unajua kilichopo inside je wanafanya tech hio simply kurahisisha maisha sasa kama tutajikita ktk reseach za uchawi ambao naita ni tech pia hatutaweza kurahisisha maisha? hujasikia story za kupaa na ungo,vibwengo je? huo wote unaona ujinga ila hadithi za mmarekani kutembelewa na alliens na kusemekana aliens hao ambao ni mithiri ya vibwengo ndo walizaa na binadamu na kupelekea kuleta binadamu wenye akili sana na ndio wamefanya mageuzi ya Tech hii...Kiukweli tuache dharau na kila kitu kinachotokea cha kuzingatia ni kufanyia research jambo na kuliandika vitabuni hilo ndo limemfikisha mtu mweupe hapa alipo
 
WAAFRIKA NI WAJINGA SANA!,HIVI KUNA BINADAMU WANAOSHIRIKIANA NA MAJINI KULIKO WAZUNGU???
N.B.
****
ISHINI SEHEMU NA NCHI MBALIMBALI MUONE MAAJABU
ii
 
Mkuu sorry,nilikuwa sijajua unachokiamini wewe nimeshafahamishwa na wadau.Sasa nilichoandika kwa imani na ufahamu wako hakitakuwa sahihi,uko sahihi kutokana na imani yako.My apology.

Worry out bro! Tuendelee kulumbana kwa hoja tuelimishane maana maisha ni mwalimu.
 
Back
Top Bottom