Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
Kuna nyuzi kabla ya kufungua wala kukoment inabidi ujifunike na Damu ya Yesu. Hii ni moja wapo, msipoangalia mnaweza kuwa connected kwenye cult ya mleta mada hivi hivi.
Naharibu na kuteketeza nia, mpango, madhumuni yalio nyuma ya uzi huu kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth na Moto wa Roho Mtakatifu.
Naituma Damu ya Yesu Krito kuteketeza madhabahu anayoitumia mleta mada na ninamtia upofu na uwete kuhani wa madhabahu hiyo kwa Damu ya Mwanakondoo wa Mungu ambaye ndiye Kuhani Mkuu.
Naifunika comment hii kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth.
Amina.
Naharibu na kuteketeza nia, mpango, madhumuni yalio nyuma ya uzi huu kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth na Moto wa Roho Mtakatifu.
Naituma Damu ya Yesu Krito kuteketeza madhabahu anayoitumia mleta mada na ninamtia upofu na uwete kuhani wa madhabahu hiyo kwa Damu ya Mwanakondoo wa Mungu ambaye ndiye Kuhani Mkuu.
Naifunika comment hii kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareth.
Amina.