Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Binafsi sijawahi kumwazia malaika in the sense of gender, kwa kuwa nijuavyo ni roho na anaweza kuvaa umbo lolote....lakini pia wakati wa Bible waliohesabiwa ni wanaume tu hii haimaanishi kwamba wanawake hawakuwepo
Mkuu wewe ni mjanja sana,na kama mtu hajui vizuri unamteka kirahisi.Nimetoa mfano wa wanaume kuhesabiwa tu ,sikumanisha hawakuwepo wanawake.Tatizo umeshindwa kunielewa,nilikuwa najaribu kutokukupinga hoja yako,nikimanisha inawezekana malaika wa kike walikuwepo/wapo ila Mungu alitumia wa kiume tu.Sasa wewe unafanya issue of discussion,uwe unasoma ninavyoandika kwa umakini mkuu ili tuelewane.Niko najisomea mambo ya Buddhism hapa ili niweze mrudisha Jimema.
Mkuu wewe fanya unayofanya,at any time there is always people to be fooled.Nilikuwa nasoma kitabu fulani,je ni harari kwa muislam kutaka msaada kutoka kwa jinn?Soma hapa,hapa si penye hicho kitabu bali panaweza pakakusaidia.
Sikutafuta information kama ni harari kwa mkristu kwani for christians kwa imani yake "hakuna ushirika kati ya giza na nuru".
 
Nikufundishe kumuita Jinni wa kike?

mkuu, majini nawaogopa kwa shida niliyokuwa nayo sitamuamini kulala nae kitanda kimoja bora awe malaika wa kike.

mkuu mi mkristo, kulingana na ukristo malaika na mapepo (majini) kimsingi wapo sawa hivyo nategemea yanayotokea upande mmoja kuwezekana pia upande wa pili.
kama tunaweza kuingilia mwenendo wa majini nategemea ipo hivyo pia kwa malaika

kulingana na ufahamu wangu wa biblia sijawahi kukutana malaika wa kike.

humu tunaulizana maswali magumu sana kwa njia rahisi, ili kuongeza ufahamu wetu japo kidogo biblia haipo wazi sana kuhusu malaika na majini.
 
Mkuu sitaki ni conclude lakini kwa ufuatiliaji wangu wa haya mambo,malaika wote ambao walishawahi kutokea kwa watu au tumesoma habari zao gender yao ni masculine,naomba reference kutoka kitabu chochote kile Bible,Quran au cha mwandishi yeyote(reliable) ambapo pametajwa kuna malaika wa kike.
Baadhi ya majina ya malaika wanaojulikana ni Michael, Gabriel, Lucifer .usikwepe swali mkuu napenda nijifunze unayoyajua naamini yatanisaidia kwa kazi yangu.

Hakuna malaika anaitwa LUCIFER.Kaperuzi vizuri maandiko yako kwa umakini.
 
Mkuu wewe ni mjanja sana,na kama mtu hajui vizuri unamteka kirahisi.Nimetoa mfano wa wanaume kuhesabiwa tu ,sikumanisha hawakuwepo wanawake.Tatizo umeshindwa kunielewa,nilikuwa najaribu kutokukupinga hoja yako,nikimanisha inawezekana malaika wa kike walikuwepo/wapo ila Mungu alitumia wa kiume tu.Sasa wewe unafanya issue of discussion,uwe unasoma ninavyoandika kwa umakini mkuu ili tuelewane.Niko najisomea mambo ya Buddhism hapa ili niweze mrudisha Jimema.
Mkuu wewe fanya unayofanya,at any time there is always people to be fooled.Nilikuwa nasoma kitabu fulani,je ni harari kwa muislam kutaka msaada kutoka kwa jinn?Soma hapa,hapa si penye hicho kitabu bali panaweza pakakusaidia.
Sikutafuta information kama ni harari kwa mkristu kwani for christians kwa imani yake "hakuna ushirika kati ya giza na nuru".

Mkuu Aqua unataka kunirudisha wapi?
 
Last edited by a moderator:
12219395_1135249243170125_3550243758270561522_n.jpg


LEO nawafundisha njia fupi ya kumwita JINI mpole Kisha mwambie haja zako. nunua aina ya taa

Za chemli mbili weka utambi wa Sanda iwe kama tambi kila chemli weka mafuta ya taa kipimo cha

vikombe vya kahawa kila chemli weka vikombe saba saba Kisha ktk kila tundu LA chemli weke mchanga wa kaburi kidogo kidogo kwa manuwizi Kisha washa taa zako na tundika taa hizo


pembezoni mwa dirisha lako kama unavyo
ona hapo ktk picha. Baada ya kuweka chukua kizulia....... Kisafi na pia kiwe ktk Hali ya usafi kiweke katikati ya chumba hicho kissha washa taa hizo baada

yaykuwasha kiti hapo ktk zulia huku umevaa nguo ambazo si nyeusi ama vaa kanzu ama nguo yoyote nyeupe. Alafu keti chini piga makofi Mara saba baada ya hapo toka nje ya chumba funga

vema chumba baada ya kutoka utasikia sauti mbili za njiwa wakiunguruma Kisha nipigie simu ukiwa nje nikupe muhutasari wa siri na maneno maalumu. Inshaallh. +255757 40 77 77. Jina langu
TIBA Mbadala 77



Mkuu nikishayachokonoa halafu na wewe usipatikane kwa simu nitayakabili vipi??? Maaana inawezekana ukapigwa na vibaka simu ikaenda au ikawa haina chaji je nitafanyaje? Bora ungemwaga kila kitu nikilianzisha nijue nitayapoza vipi.
 
teh teh teh

hiyo ndiyo akili Mtu mweusi,wakati whites wanatengeneza time machine,black anamtafuta "jini mpole".......i'm quite dumbfounded

Donald trump was right...!

Ndugu,
Hivi kwa fikra zako unadhani wazungu hawafanyi uchawi, hao ni wabobezi wa OCCULT ARTS.
 
Yaan nimefurahiahuu uzi mpaka mama watoto kachukia nilivyokuwa nacheka. Yaan, mtu utoke kabisa na kifuko cha kwenda chukulia udongo makaburini. Ukainame makaburini unachota udongo. Ukaibe kitambaa cha sanda ya maiti. Sijui saa hiyo wenye maiti watakuwa wamelala au vipi, mpaka uichane sanda halaf uifiche utoke nayo kwenda kutengenezea utambi.
Jamani, masharti yako Mzee MziziMkavu ni magumu mno. Hebu tuelekeze njia nyingine flan hivi ya kufanya aje huyo jini. Miye si mwoga, niongoze hata kumtafuta huyo maimuna au makata. Natamani waje tunywe nao chai. Yaani ntawaamrisha mpaka wakulete kwenye hiyo meza mzee MziziMkavu tunywe chai. Sifanyi utani MziziMkavu. Nielekeze, ili uje utoe ushuhuda hapa JF kuwa kuna njemba kiboko ya majini yote mapole na makali.
I challenge yu
 
Hakuna malaika anaitwa LUCIFER.Kaperuzi vizuri maandiko yako kwa umakini.

Mkuu,nikiandika vitu hasa vya mambo ya Mungu huwa sikurupuki.Ukiona kitu nimeandika kama utaona nimekosea fanya research.Fuatilia kuna aina ngapi za malaika,tatizo lako unaona nikimwita shetani malaika nakosea au namsafisha lakini ukweli shetani ni malaika,kamwulize mwalimu wako wa mambo ya dini.Lucifer ni jina la shetani alilopewa,jina la utukufu kabla hajamuasi Mungu,alikuwa ni malaika.
Kwani mkuu hujui kama shetani alikuwa mmoja kati ya malaika wakuu waliokuwa karibu sana na Mungu?
Sometimes christians tunafotautiana ufahamu kutokana na vitabu au vyanzo vya elimu zetu za dini na walimu wanaotufundisha.Refer bible mkuu,kaisome vizuri.
Soma
Ezekiel 28:12-14 ;Isaiah 14:12-14 Archangels and Cherubim
ufunuo 12:7-9;
reference zipo nyingi za jina Lucifer kuwa ni jina la malaika ambaye ,baada ya kuasi akawa na majina mengi mabaya.Lucifer lilikuwa jina la Shetani la utukufu kabla ya kuasi.Soma hapa hii ni source moja kati ya soure nyingi za kukusaidia.Kama unajua majina matatu ya malaika yaliyotaja katika biblie,je si haya Michael, Gabriel, and Lucifer?
 
Nataka nikurudishe kwa unayetakiwa kumwabudu,kama uko duniani unatakiwa ujue wewe ni mali ya nani.Soma Zaburi 24:1

Huyo Horse power unaempa vifungu vya biblia asome sijui kama hata biblia anayo maana kwa nnavyomuonaga humu anaonekana kama ni sunni.

Sasa si uniambie tu kuwa unadhani mi ni mali ya nani? Mi vitu vyote navyofanya hapa duniani ni kwa ajili yangu na wale watu nnaowapenda tu hivyo maneno yako utakayokuja nayo yaambatane na ushahidi tafadhali,
 
Yaan nimefurahiahuu uzi mpaka mama watoto kachukia nilivyokuwa nacheka. Yaan, mtu utoke kabisa na kifuko cha kwenda chukulia udongo makaburini. Ukainame makaburini unachota udongo. Ukaibe kitambaa cha sanda ya maiti. Sijui saa hiyo wenye maiti watakuwa wamelala au vipi, mpaka uichane sanda halaf uifiche utoke nayo kwenda kutengenezea utambi.
Jamani, masharti yako Mzee MziziMkavu ni magumu mno. Hebu tuelekeze njia nyingine flan hivi ya kufanya aje huyo jini. Miye si mwoga, niongoze hata kumtafuta huyo maimuna au makata. Natamani waje tunywe nao chai. Yaani ntawaamrisha mpaka wakulete kwenye hiyo meza mzee MziziMkavu tunywe chai. Sifanyi utani MziziMkavu. Nielekeze, ili uje utoe ushuhuda hapa JF kuwa kuna njemba kiboko ya majini yote mapole na makali.
I challenge yu

Mkuu mangatara

Teh teh teh,Mbavu zangu jamani,teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
hivi mkuu hamnaga malaika wa kike, na hujui jinsi ya kuwaita?

Malaika si wanawake wala si wanaume,hawali wala hawanywi,na wala hawana matamanio.Hawana sifa ya kumuasi Mwenyezi Mungu na wanafanya kila wanachoaagizwa na Mola wao,Hawa wametakaswa;hawashiriki kwenye batili.
 
Mkuu usicheke. Am serous wala stanii. Watu wanakuja hapa kutubabaisha na viumbe hao. Tumechoka sasa
mangatara kuna sehemu moja ndiyo inayochekesha zaidi kwenye huu uzi
baada ya kuyakurupusha hayo MAZOMBI inabidi umpigie simuMziziMkavu

sasa watu wangapi watampigia simu ndani ya wakati mmoja?Na kama asipokuja utayambia nini hayo MAJITU?
 
Last edited by a moderator:
Malaika wa kike wapo ila hawahitajiki kuitwa kwa kuwa hawaishi gizani na hawana mawaa kwahiyo wapo na tunao katika maisha yetu ya kila siku kila saa kila dakika na kila sekunde
Tunaambiwa Mara nyingi kuna malaika mlinzi lakini je ulishawahi kusikia kuhusu jini mlinzi?

HAKUNA malaika mwanamke wala malaika mwanaume.Na hana ulinzi wa malaika yule mwenye kumkanusha Mungu.
 
mkuu, majini nawaogopa kwa shida niliyokuwa nayo sitamuamini kulala nae kitanda kimoja bora awe malaika wa kike.

mkuu mi mkristo, kulingana na ukristo malaika na mapepo (majini) kimsingi wapo sawa hivyo nategemea yanayotokea upande mmoja kuwezekana pia upande wa pili.
kama tunaweza kuingilia mwenendo wa majini nategemea ipo hivyo pia kwa malaika

kulingana na ufahamu wangu wa biblia sijawahi kukutana malaika wa kike.

humu tunaulizana maswali magumu sana kwa njia rahisi, ili kuongeza ufahamu wetu japo kidogo biblia haipo wazi sana kuhusu malaika na majini.

wapi umepata hizo habari kwamba malaika majini wako sawa? Na wako sawa kivipi?
 
wapi umepata hizo habari kwamba malaika majini wako sawa? Na wako sawa kivipi?
HORSE POWER,kuna Baadhi ya watu hawawezi kufikiria jinsi kitu kipya kilivyo bila kukifananisha na kitu kilichopo
Sasa watu kama hao, ni vigumu sana kuelewa unachokisema kwasababu hawawezi kufikiria nje ya Box

kiufupi hakuna sehemu yoyote katika vitabu vya dini inayo acknowledge jinsia ya MALAIKA AU MAJINI
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,nikiandika vitu hasa vya mambo ya Mungu huwa sikurupuki.Ukiona kitu nimeandika kama utaona nimekosea fanya research.Fuatilia kuna aina ngapi za malaika,tatizo lako unaona nikimwita shetani malaika nakosea au namsafisha lakini ukweli shetani ni malaika,kamwulize mwalimu wako wa mambo ya dini.Lucifer ni jina la shetani alilopewa,jina la utukufu kabla hajamuasi Mungu,alikuwa ni malaika.
Kwani mkuu hujui kama shetani alikuwa mmoja kati ya malaika wakuu waliokuwa karibu sana na Mungu?
Sometimes christians tunafotautiana ufahamu kutokana na vitabu au vyanzo vya elimu zetu za dini na walimu wanaotufundisha.Refer bible mkuu,kaisome vizuri.
Soma
Ezekiel 28:12-14 ;Isaiah 14:12-14 Archangels and Cherubim
ufunuo 12:7-9;
reference zipo nyingi za jina Lucifer kuwa ni jina la malaika ambaye ,baada ya kuasi akawa na majina mengi mabaya.Lucifer lilikuwa jina la Shetani la utukufu kabla ya kuasi.Soma hapa hii ni source moja kati ya soure nyingi za kukusaidia.Kama unajua majina matatu ya malaika yaliyotaja katika biblie,je si haya Michael, Gabriel, and Lucifer?

Sijasema unakurupuka kaka! Huwa naheshimu mawazo ya watu kwa sababu binadamu tunafautiana kwa mambo mengi.
Lucifer SIO malaika.Lucifer au shetani ni JINI.Alichukuliwa kwenda kuishi na malaika sababu ya uchamungu wake kabla ya kuasi.Historia yake ni ndefu sana ya kwa nini akaishi na malaika na ilikuaje akaasi na kulaaniwa.
 
mangatara kuna sehemu moja ndiyo inayochekesha zaidi kwenye huu uzi
baada ya kuyakurupusha hayo MAZOMBI inabidi umpigie simuMziziMkavu

sasa watu wangapi watampigia simu ndani ya wakati mmoja?Na kama asipokuja utayambia nini hayo MAJITU?

einstein newton;
Yaani masharti ya hawa jamaa wenye kujiona wamebobea kiuganga ni magumu sijawahi ona. Hapo sasa, wawe wameyaitisha hayo makitu, mara ghafula yameingizana. Uanze kuutafuta mtandao wa Voda, umechukua lisaa, hiyo nyumba MziziMkavu, si tutakuachia?
 
Back
Top Bottom