Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

hivi mzizi mkavu una maslahi gani na majini? bujibuji na nguruwe wake kweli mtaelewana?
 
12219395_1135249243170125_3550243758270561522_n.jpg


LEO nawafundisha njia fupi ya kumwita JINI mpole Kisha mwambie haja zako. nunua aina ya taa

Za chemli mbili weka utambi wa Sanda iwe kama tambi kila chemli weka mafuta ya taa kipimo cha

vikombe vya kahawa kila chemli weka vikombe saba saba Kisha ktk kila tundu LA chemli weke mchanga wa kaburi kidogo kidogo kwa manuwizi Kisha washa taa zako na tundika taa hizo


pembezoni mwa dirisha lako kama unavyo
ona hapo ktk picha. Baada ya kuweka chukua kizulia....... Kisafi na pia kiwe ktk Hali ya usafi kiweke katikati ya chumba hicho kissha washa taa hizo baada

yaykuwasha kiti hapo ktk zulia huku umevaa nguo ambazo si nyeusi ama vaa kanzu ama nguo yoyote nyeupe. Alafu keti chini piga makofi Mara saba baada ya hapo toka nje ya chumba funga

vema chumba baada ya kutoka utasikia sauti mbili za njiwa wakiunguruma Kisha nipigie simu ukiwa nje nikupe muhutasari wa siri na maneno maalumu. Inshaallh. +255757 40 77 77. Jina langu
TIBA Mbadala 77



Utapeli mtupu!!! Namba ya simu ya nini?? kawaibie wajinga..!
 
Siku utakayokuja kushushwa maziwa kifuani asijulikane ndani huko nani mama nani baba ndio utajua ulozi upo

Sijawahi kushuhudia uchawi wala sijawahi kukutana na mtu aliyewahi kushuhudia hayo mambo. Wote huwa wanaongea story za kusadikika tu walizobuni au walizozisikia. wengi wanaodai kufanyiwa uchawi na ulozi huwa wanapatwa na hali au magonjwa yanayotambulika kisayansi mengine yanatiba na mengine hayatibiki. Naanimi bongo tuna watu wana dementia, alzheimers, OCD, autism et cetera et cetera ila sababu ya mawazo mgando, fikra potofu na ufinyu wa maarifa tunaishia kusema kila kitu ni uchawi
 
Huu ni UCHAWI na USHIRIKINA wa wazi kabisa.Ndugu yangu achana na hayo mambo na acha KUPOTEZA wengine.
 
HORSE POWER watu washapotezwa na mengine mabaya zaidi kuzidi hili
Duuh kwa hiyo mkuu,kwa kuwa walishapotezwa na mengine mabaya zaidi na wewe unapitia hapohapo?
Samahani katika imani yako inaruhusiwa mwanadamu kupata msaada kutoka kwa jini?je unavyowafundisha watu kupata misaada kutoka kwa jini,unadhani watamtumaini Mungu au ndiyo watakimbilia kwa majini?
"Two wrongs don't make a right"
 
Duhh nyie watu ndo magufuli atawachapa sana mwaka huu
 
Duuh kwa hiyo mkuu,kwa kuwa walishapotezwa na mengine mabaya zaidi na wewe unapitia hapohapo?
Samahani katika imani yako inaruhusiwa mwanadamu kupata msaada kutoka kwa jini?je unavyowafundisha watu kupata misaada kutoka kwa jini,unadhani watamtumaini Mungu au ndiyo watakimbilia kwa majini?
"Two wrongs don't make a right"

Oops!

"Two wrongs don't make right",this is insult dude,can you focus in your argument without using harshly language?

ok let me take this phrase as my premise;"if two wrongs can't make right one,then right one can't make wrong?".....indeed,because opposite is true

All demons were created by God,so if God is right one then his creation,i mean demons,will never be wrongs

in my view,there is nothing wrong about their beliefs because even demons are right and perfect since their creator is right also

teh teh teh
 
Duuh kwa hiyo mkuu,kwa kuwa walishapotezwa na mengine mabaya zaidi na wewe unapitia hapohapo?
Samahani katika imani yako inaruhusiwa mwanadamu kupata msaada kutoka kwa jini?je unavyowafundisha watu kupata misaada kutoka kwa jini,unadhani watamtumaini Mungu au ndiyo watakimbilia kwa majini?
"Two wrongs don't make a right"

Naweza kuonekana wa ajabu kwa msimamo wangu wa kutetea kitu ambacho kwa asilimia kubwa hakina madhara kwa wengine lakini huo ndio msimamo wangu
Sioni shida kumuita jini na kufanya nitakayo kama yatakuwa hayaumizi wengine kuliko kujifanya mimi ni mtu mtakatifu sana kumbe hata familia yangu naifanyia mabaya ikiwemo jamii inayonizunguka na wengine pia
 
sasa simu yako iwe hewani muda wote si unajua unapopigiwa ndo mzigo umeshawasili sasa kutakuwa hakulaliki tena kama hautopatikana.

hii kitu nitajaribu siku si nyingi, nikusanye vifaa kwanza.
 
Naweza kuonekana wa ajabu kwa msimamo wangu wa kutetea kitu ambacho kwa asilimia kubwa hakina madhara kwa wengine lakini huo ndio msimamo wangu
Sioni shida kumuita jini na kufanya nitakayo kama yatakuwa hayaumizi wengine kuliko kujifanya mimi ni mtu mtakatifu sana kumbe hata familia yangu naifanyia mabaya ikiwemo jamii inayonizunguka na wengine pia

hivi mkuu hamnaga malaika wa kike, na hujui jinsi ya kuwaita?
 
Oops!

"Two wrongs don't make right",this is insult dude,can you focus in your argument without using harshly language?

ok let me take this phrase as my premise;"if two wrongs can't make right one,then right one can't make wrong?".....indeed,because opposite is true

All demons were created by God,so if God is right one then his creation,i mean demons,will never be wrongs

in my view,there is nothing wrong about their beliefs because even demons are right and perfect since their creator is right also

teh teh teh
Aisee.
Two wrongs don't make it right maana yake ni makosa mawili hayafanyi kitu kiwe sahihi. Sasa ukishaelewa maana ya hio statement rudi usome kama ulichoandika kina leta maana yeyote ile.
 
Mshana jr hebu tudadavulie hii mada kwa undani naona kila mtu anaongea lake tu.
 
hivi mkuu hamnaga malaika wa kike, na hujui jinsi ya kuwaita?

Malaika wa kike wapo ila hawahitajiki kuitwa kwa kuwa hawaishi gizani na hawana mawaa kwahiyo wapo na tunao katika maisha yetu ya kila siku kila saa kila dakika na kila sekunde
Tunaambiwa Mara nyingi kuna malaika mlinzi lakini je ulishawahi kusikia kuhusu jini mlinzi?
 
Mshana jr hebu tudadavulie hii mada kwa undani naona kila mtu anaongea lake tu.
rsk , mkuu MziziMkavu ndio yuko kwenye nafasi nzuri zaidi ya kulielezea hili
Kimsingi hakuna utata wowote ameelekeza nini cha kufanya sasa badala ya watu kujaribu naona stories zinarefushwa lakini si mbaya kwa kuwa wanataka kutimiza kiu yao ya kufahamu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: rsk
Back
Top Bottom