Kinadharia Jamii yetu unaamini uwepo wa nguvu za giza na jinsi zinavyoathiri maisha yetu.
Kitovu ni muunganiko wa kiroho na kimwili ili kupitisha virutubisho na uwepo wa mawasiliano ya kiroho pia Kati ya mama na mtoto. Ipo inayotumika kupitisha nguvu za giza Ili kudhuru au kukamata maisha ya mtu na kuyaunganisha na madhabau zao ukawa unatawaliwa na sio kujitawala, kupitia kitovu ni moja ya mlango.
Baada mtoto kuzaliwa huwa kitovu kinaanguka, sasa ipo nadharia ya wengi kuwa na mkanganyiko kupitia mawazo ya wanajamii wanotuzunguka wengine watakuambia kitupe tu sirini, au fukia chini nk.
Njia pekee na salama milele ni kukichoma moto. Chukua kitovu changanya na mkaa au kuni choma kabisa kiwe majivu kisha majivu yachanganye na maji yawe ya baraka au ya kawaida kisha yamwage maji hayo kwa kuyatawanya kama unanyunyiza au unamwagilia.
Hapa umewakomesha kabisa hawa wapumbavu hata watumie mitambo yao yote ya kuzimu hawawezi kukiunganisha.
Wapumbavu ni neno alitumialo shetani kuwaita wafuasi wake. Ukitupa chooni ni kosa kubwa huko ndipo makazi yao, ukikitupa au kuzika hata ukiwa pekee yako sirini popote iwe porini sijui jalalani, hao wapumbavu wanaouwezo wa kukipata na kukichukua kwa msaada wa majini na kupitia codes number za Mzimu wa ukoo wenu na wakayafunga au kuyatawala maisha ya mtoto wako kwa kumuunganisha kwenye madhabau zao.
Utaomba na kuombewa Sana, utamaliza vilinge vyote hutapata nafuu, ni hadi upate wenye elimu kubwa ya kuchimbua mambo.
Maisha ya watu wengi uharibiwa utotoni mapema kwa adui kupanda au kuchukua vitu ili kuleta uharibifu ukubwani. Chochote cha kwanza toka kwa mtoto aliyezaliwa iwe maji aliyoanzia kuoga, kucha au nywele za mwanzoni ni malighafi kwa wapumbavu. Njia sahihi ni kuchoma moto kisha majivu yachanganye na maji hapo awapati kitu.
TUNAENDELEA KUMUIABISHA SHETANI NA MAWAKALA ZAKE KWA KUZIFICHUA SIRI ZAO ILI WATU WANAOAMINI WAWE HURU DHIDI YA NGUVU ZA GIZA, UKIMJUA ADUI UMEMSHINDA. Ameen.
Kitovu ni muunganiko wa kiroho na kimwili ili kupitisha virutubisho na uwepo wa mawasiliano ya kiroho pia Kati ya mama na mtoto. Ipo inayotumika kupitisha nguvu za giza Ili kudhuru au kukamata maisha ya mtu na kuyaunganisha na madhabau zao ukawa unatawaliwa na sio kujitawala, kupitia kitovu ni moja ya mlango.
Baada mtoto kuzaliwa huwa kitovu kinaanguka, sasa ipo nadharia ya wengi kuwa na mkanganyiko kupitia mawazo ya wanajamii wanotuzunguka wengine watakuambia kitupe tu sirini, au fukia chini nk.
Njia pekee na salama milele ni kukichoma moto. Chukua kitovu changanya na mkaa au kuni choma kabisa kiwe majivu kisha majivu yachanganye na maji yawe ya baraka au ya kawaida kisha yamwage maji hayo kwa kuyatawanya kama unanyunyiza au unamwagilia.
Hapa umewakomesha kabisa hawa wapumbavu hata watumie mitambo yao yote ya kuzimu hawawezi kukiunganisha.
Wapumbavu ni neno alitumialo shetani kuwaita wafuasi wake. Ukitupa chooni ni kosa kubwa huko ndipo makazi yao, ukikitupa au kuzika hata ukiwa pekee yako sirini popote iwe porini sijui jalalani, hao wapumbavu wanaouwezo wa kukipata na kukichukua kwa msaada wa majini na kupitia codes number za Mzimu wa ukoo wenu na wakayafunga au kuyatawala maisha ya mtoto wako kwa kumuunganisha kwenye madhabau zao.
Utaomba na kuombewa Sana, utamaliza vilinge vyote hutapata nafuu, ni hadi upate wenye elimu kubwa ya kuchimbua mambo.
Maisha ya watu wengi uharibiwa utotoni mapema kwa adui kupanda au kuchukua vitu ili kuleta uharibifu ukubwani. Chochote cha kwanza toka kwa mtoto aliyezaliwa iwe maji aliyoanzia kuoga, kucha au nywele za mwanzoni ni malighafi kwa wapumbavu. Njia sahihi ni kuchoma moto kisha majivu yachanganye na maji hapo awapati kitu.
TUNAENDELEA KUMUIABISHA SHETANI NA MAWAKALA ZAKE KWA KUZIFICHUA SIRI ZAO ILI WATU WANAOAMINI WAWE HURU DHIDI YA NGUVU ZA GIZA, UKIMJUA ADUI UMEMSHINDA. Ameen.