kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Kuna mama yangu yuko hospitali wiki sasa kwa kunywa limaoKunywa sana juice ya ndimu/ limao,,punguza vyakula vya mafuta
Mini kimempata,,mana nakunywa hatari,, nijulisheKuna mama yangu yuko hospitali wiki sasa kwa kunywa limao
Nimekumis sana.... Ushauri wako nimzuri ila Unamadhara makubwaaaaaaa MAANA lazima apatwe na ULCERS !![emoji23] [emoji23] [emoji23]Kunywa sana juice ya ndimu/ limao,,punguza vyakula vya mafuta
Alikuwa anafanya diet , akawa anakunywa hiyo juice ya limau ndiyo hivo tena anaumwa hatari sasa hivi, japo tatizo bado halijulikaniMini kimempata,,mana nakunywa hatari,, nijulishe
Uzire, nenda duka la viungo kariakoo uliza uzire in kiungo cha pilauMsumeno
Hiyo Spice - CUMIN - inapatikana wapi hapo Dar?
Chanteee,,miss you moreNimekumis sana.... Ushauri wako nimzuri ila Unamadhara makubwaaaaaaa MAANA lazima apatwe na ULCERS !![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duu pole,, au pia alikua anajinyima sana ? Mana wengine diet ndo anashinda njaa kbsaaa.Alikuwa anafanya diet , akawa anakunywa hiyo juice ya limau ndiyo hivo tena anaumwa hatari sasa hivi, japo tatizo bado halijulikani
Acha Mara moja km unapenda Afya yako !!Chanteee,,miss you more
Hapo kwenye madhara ndo panatisha,,ngoja niache tu,,Mana mtumiaji wa juice ya limao sana
Usiku kabla huja lala chukua tangawizi 1kubwa isage giliglani fungu moja ama moja na nusu saga kwenye blend limao 1huo mchanganyiko unatakiwa upate glas moja asubuhi kabla hujala chochote mdalasini kijiko cha chakula asali mbichi kijiko kimoja cha chakula veneg acid vijiko viwili limao vijiko 2maji ya uvuguvugu na yenyewe upate glas 1ila mdalasi unatakiwa maji ya moto yakishapoa ndiyo unachanganya hivyo vingine
Sawaaa le akili kubwaz,,thank youAcha Mara moja km unapenda Afya yako !!
Sawaaa le akili kubwaz,,thank youAcha Mara moja km unapenda Afya yako !!
Punguzapo kunitenga dooohhhh mpaka MTU anajistukiaSawaaa le akili kubwaz,,thank you
Chikutengi tenaaaa,,,,Punguzapo kunitenga dooohhhh mpaka MTU anajistukia
naona anataka mtu atengeneze cyanide sasa daah si kwa mchanganyiko huo, duuJamani naona tunaweza kuuana bure humu jamvini maana hizo acid zote ndani ya tumbo tupu. Mbona ni kazi kweli kweli.
Mara yapili unasema ivo , sijui nikwann unarudia kile unachoahidi kutokifanya !!.Chikutengi tenaaaa,,,,
Basi basi basiiii baba,,ntakerebisha😛Mara yapili unasema ivo , sijui nikwann unarudia kile unachoahidi kutokifanya !!.
Aya asante katika hilo!!. Putin sasa ninenepe hahahahaBasi basi basiiii baba,,ntakerebisha😛
Unafos penz mjomba,Fake ID,humjui unataka mtu akuweke akilin,hahahah,..jokin tu broMara yapili unasema ivo , sijui nikwann unarudia kile unachoahidi kutokifanya !!.