Njia ya haraka ya kupunguza mafuta mwilini

Uzire pia uswahilini inaitwa bizari nyembamba
 
Alikuwa anafanya diet , akawa anakunywa hiyo juice ya limau ndiyo hivo tena anaumwa hatari sasa hivi, japo tatizo bado halijulikani
Duu pole,, au pia alikua anajinyima sana ? Mana wengine diet ndo anashinda njaa kbsaaa.
 

KHA SASA HII NDO KUNYA MOTO JAMBA CHECHE
 
Jamani naona tunaweza kuuana bure humu jamvini maana hizo acid zote ndani ya tumbo tupu. Mbona ni kazi kweli kweli.
naona anataka mtu atengeneze cyanide sasa daah si kwa mchanganyiko huo, duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…