Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 340
- 243
Mm nimfugaji wa kuku na Bata ila napata changamoto ya kunguru kula vifaranga na mayai bandani wakimuona kuku katoka kutaga wao wanaingia yani ni mwendo wa kuviziana tu niwahi mm Yai au kunguru nimejaribu kuwa winda na manati nimefeli nimeweka sumu kwenye mayai niliyoyatoboa lakini bado wanadunda nilitumia sumu ya panya ya unga kwahyo naomba anaejua mbinu ya kutatua changamoto hii maana ni ndege mwenye akili sana nahitaji mwenye kujua mtego ,sumu au njia ya kuwaamisha