Njia ya kudhibiti kunguru wananirudisha nyuma

Njia ya kudhibiti kunguru wananirudisha nyuma

Pole sana Mkuu,nilikuwa na tatizo kama hili ila Mimi changamoto ilikuwa ni kenge ,walikuwa Kila siku tunafukuzana nao,almost kenge 20 walikuwa eneo moja,nimewateketeza wote Sasa Niko huru.


Kama hao kunguru wanakula mayai basi kuwamaliza ni rahisi,je wakichukua yai wanatobolea mdomoni au wanalitoboa likiwa chini na kuanza kula kiiini?

Kama wanatobolea mdomoni na kumeza kiini basi tafuta mayai ya kuku wa kisasa ,sumu ya kuu wadudu Ile ya maji ( kimiminika) , super glue, unga wa ngano/ mhogo , sindano ya nguo ya mkono na Bomba la sindano ya kuchomea binadamu.


Hatua :-tikisa yai taratibu Hadi kiini kiwe maji na Kisha toboa katundu kadogo taratibu na umwage Yale maji ya yai,Kisha mwaga Hadi maji ya yai yaishe na utie ndani sumu Kwa kutumia mbomba la sindano na baada ya hapo ziba Kwa super glue na unga wa ngano weka mayai hayo sehemu afikapo huyo ndege.


Kaa Kwa kusubiri matokeo
Kenge ulifanyaje wananisumbua sana.
 
Back
Top Bottom