Njia ya kulinda Mali yako. usipoteze kwa kigezo cha Ndoa au Mapenzi

Njia ya kulinda Mali yako. usipoteze kwa kigezo cha Ndoa au Mapenzi

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Kama umepambana na una Mali nyingi usioe.

Tafuta mwanamke uwe nae kama mpenzi tu.

Jenga nyumba Sehemu na umueleze huyo mwanamke kua umempangishia.

Umiliki wa hiyo nyumba hata kama uko kwa jina lako tafuta ndugu yako, asajili Taarifa za umeme kwa jina lake.

Inamaana hata huyo mwanamke akinunua umeme Jina litakuja la mtu mwingine.

Pia we mwanaume usiishi katika hiyo nyumba.

Uwe unaenda na kuondoka, Uwe na Sehemu yako maalum ya Kuishi.

Mali zako huyo mwanamke hapaswi kuzijua, maana Wanawake wengi wanaingia katika mahusiano kwa kuelnga Faida

Sasa usipokua makini utapoteza Mali zako.
 
utafute kwa shida na uishi kwa shida kisa tu mwanamke!?
Uwezi kunielewa kwa sasa, ila ukisha kua na Mali na mkaburuzana Mahakamani ndo utanielewa, sijaz zungumzia nyumba Biashara Moja au 2 au nyumba 1,2,3.
Kama unapesa Hata line ya simu tumia Laini ya simu ya mtu mwingine kwa Makubaliano, utakuja kunielewa Baadae sio sasa.
Na kama unataka kunielewa nenda mahakamani ndo utajua show za wanawake zikoje.
Mi sishauri kuoa Ukiwa ujajipanga Vizuri namna ya kulinda Mali zako kwa akili na Nguvu zako zote.
 
katika sheria kuna kitu kinaitwa dhanio la ndoa( presumption of marriage) pale inapotokea kuwa umekaa na mwanamke miaka miwili au zaidi.

Hivyo basi kwa mujibu wa sheria za ndoa ili dhanio hilo la ndoa liwepo lazima mambo yafuatayo yawepo;

•muwe mmeishi au mnaishi pamoja kama mke na mume muda wa miaka miwili au zaidi.

•jamii inayowazunguka lazima iwe inawachukulia kama mke na mke. Pia lazima jamii iwape heshima na sifa kama watu mliooana n.k.

Kutokana na sheria za nchi( sheria ya ndoa) huyo anakuwa ni mke wako.

Lengo la dhanio la ndoa ni kuwalinda wanawake ambao wanakaa na wanaume bila ndoa. Hivyo inapotokea wameachana au mmeachana iwe rahisi kupata mgao wa mali mlizochuma kwa pamoja.
 
Sasa unaoa kutafuta nini hata mpenzi hatakiwi, kwahiyo huyo mwanamke hapo kwako ataishi kama pazia? Kuna wanauwezo kuliko wanaume, kwahiyo nayeye aww anatafuta na kutunzia kwao, sasa hiyo itakuwa nyumba kweli?
 
Ndoa sio lazima iwe na cheti, sheria inatambua ndoa kama mnaishi pamoja kwa zaidi ya miaka miwili
Usikae nae we ishi kwako na yeye Aishi kwake, cheza na akili brother from another mother's,
Na cha Muhimu ni kua na Watoto tu.
 
Kama umepambana na una Mali nyingi usioe.
Tafuta mwanamke uwe nae kama mpenzi tu.
Jenga nyumba Sehemu na umueleze huyo mwanamke kua umempangishia. Umiliki wa hiyo nyumba hata kama uko kwa jina lako tafuta ndugu yako, asajiri Taarifa za umeme kwa jina lake.
Inamaana hata huyo mwanamke akinunua umeme Jina litakuja la mtu mwingine.
Pia we mwanaume usiishi ktk hiyo nyumba.
Uwe unaenda na kuondoka, Uwe na Sehemu yako maalum ya Kuishi.
Mali zako huyo mwanamke hapaswi kuzijua, maana Wanawake wengi wanaingia ktk mahusiano kwa kuelnga Faida
Sasa usipokua makini utapoteza Mali zako.
Ngoja ukue mkuu! Huu uzi utakuja kuufuta wewe mwenyewe!
 
Sasa unaoa kutafuta nini hata mpenzi hatakiwi, kwahiyo huyo mwanamke hapo kwako ataishi kama pazia? Kuna wanauwezo kuliko wanaume, kwahiyo nayeye aww anatafuta na kutunzia kwao, sasa hiyo itakuwa nyumba kweli?
Udumia mwanamke kama unahudumia kimada, yeye awe kule na wewe uwe uku, Ukiwa unalind Mali zako la sivyo unapoteza
 
Ngoja ukue mkuu! Huu uzi utakuja kuufuta wewe mwenyewe!
ndugu nishasimama mahakamani Kwa Mali yangu Mwenye kama una Mali yeyote kwa sasa tenga akili yako Vizuri na husisha hata wanasheria Ili kulinda Mali yako ukichanganya ana akili yako.
 
jamii inayowazunguka lazima iwe inawachukulia kama mke na mke. Pia lazima jamii iwape heshima na sifa kama watu mliooana n.k.
Hii kesi hata Wakili aliyehitimu jana anashinda, kama Kigezo cha kuishi pamoja kingekuwa na Nguvu kiasi hicho wanawake wasingetaka kufunga Ndoa na kuwa na kithibitisho cha Cheti cha Ndoa,

Jamii zenyewe hizi za Africa wakisikia mambo ya Polisi na mahakamani kwenda kutoa ushahidi hawatakagi kabisa kushadadia wanaogopa kurogwa, kuuwawa na mengineyo.
 
Kila mtu awe na mali zake. Mkikutana ni kwa nia ya kuendeleza kizazi tu.
 
Kama umepambana na una Mali nyingi usioe.

Tafuta mwanamke uwe nae kama mpenzi tu.

Jenga nyumba Sehemu na umueleze huyo mwanamke kua umempangishia.

Umiliki wa hiyo nyumba hata kama uko kwa jina lako tafuta ndugu yako, asajili Taarifa za umeme kwa jina lake.

Inamaana hata huyo mwanamke akinunua umeme Jina litakuja la mtu mwingine.

Pia we mwanaume usiishi katika hiyo nyumba.

Uwe unaenda na kuondoka, Uwe na Sehemu yako maalum ya Kuishi.

Mali zako huyo mwanamke hapaswi kuzijua, maana Wanawake wengi wanaingia katika mahusiano kwa kuelnga Faida

Sasa usipokua makini utapoteza Mali zako.
Utakuja ufe, nguvu zako wale watu baki kabisa,vitoto vyako vikose hata ada ya shule na wandewa wafanye michakato hiyo nyumba inayosoma majina yao kwenye mita waichukue na familiya yako ifukiziwe mbali mwituni.
 
Kama umepambana na una Mali nyingi usioe.

Tafuta mwanamke uwe nae kama mpenzi tu.

Jenga nyumba Sehemu na umueleze huyo mwanamke kua umempangishia.

Umiliki wa hiyo nyumba hata kama uko kwa jina lako tafuta ndugu yako, asajili Taarifa za umeme kwa jina lake.

Inamaana hata huyo mwanamke akinunua umeme Jina litakuja la mtu mwingine.

Pia we mwanaume usiishi katika hiyo nyumba.

Uwe unaenda na kuondoka, Uwe na Sehemu yako maalum ya Kuishi.

Mali zako huyo mwanamke hapaswi kuzijua, maana Wanawake wengi wanaingia katika mahusiano kwa kuelnga Faida

Sasa usipokua makini utapoteza Mali zako.
Hii yote ya nini.. Mbona wanawake wana Mali zao... Dunia imebadilika anayetegemea mali za mwanaume huyo ajiangalie ana shida kichwani
 
Mali ni za watoto sio za mwanamke hiyo ndio destination
 
Umesahau siku jifsnye huna kodi apatikn mtu kuwatia mikwara apige simu afoke sana
 
Back
Top Bottom