Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu hawafanani
Mh buraza, shikamooKiukweli mwanamke ambaye hajui kupika hata kama ni mrembo vip hata yeye kumla anakuwa hana ladha
anatishia tu huyuMh buraza, shikamoo
[emoji1] [emoji1] marhaba hujambo kapeaceMh buraza, shikamoo
mimi jiko tu kiuno sikujaliwa .mi kitandani sifuuuriAsante kungwi wa maakuli
woooh nimependa comment yako .kweli uislam ni dini ya Mwenyenzi Mungu maana inatufundisha ukweli wa maishaBila shaka kuwa njaa huzusha mapungufu katika mwili wa mwanaadamu na huathiri hata namna ya kufikiri kwake, huenda akapata dhiki au wakati mwengine furaha, katika hali kama hizo nafsi ikipata inachokitamani na kukipenda miongoni mwa aina za vyakula hufurahi na kwa hiyo humpenda aliyekitengeneza chakula kile.
Katika wasia wa Umaamah binti Al-Haarith kwa mwanawe wakati wa ndoa yake:
“Angalia kwa makini wakati wa kula na kulala kwake: kwa hakika njaa nyingi huchoma na kukosesha usingizi na hutia ghadhabu”
Kwa hakika mwanamke mwenye kujali wakati wa chakula cha mumewe na akajitahidi kuandaa chakula kizuri zaidi kwa kadiri ya uwezo wake ndie mtu wa karibu zaidi kuupata moyo wa mume wake na heshima yake. Sikusudii wala sipendelei kusema kuwa mwanamke apoteze masaa mengi katika kuandaa chakula, bali apike kile anachokipenda mume wake bila ya kuharibu majukumu yake mengine.
Pindi anaporudi mumewe kutoka kazini na wakati huo huo njaa inamuunguza anakuta chakula kilishaandaliwa na nyumba ni safi na mkewe anamsubiri ili ashirikiane naye chakula, kwa hakika katika hali kama hii ni juu ya Mwenyezi Mungu kuwabarikiri katika mazingira haya mazuri ya kiimani na hii ndio familia iliyobarikiwa.
sijui sana ila bado najifunza mamyMiss ngoja nije unifundishe mapishi nisijeachika bure
Acha bana mbunye unalinganisha na utamu Wa Chakula ?Kiukweli mwanamke ambaye hajui kupika hata kama ni mrembo vip hata yeye kumla anakuwa hana ladha
Nakuja tubadilishane uzoefu shogamimi jiko tu kiuno sikujaliwa .mi kitandani sifuuuri
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jaribu kufuatilia uone mwanamke ambaye hajui kupika vizuri hata yeye sio mtamu kwenye 6*6Acha bana mbunye unalinganisha na utamu Wa Chakula ?
Unabahat sina kifanyio[emoji1] [emoji1] [emoji1] jaribu kufuatilia uone mwanamke ambaye hajui kupika vizuri hata yeye sio mtamu kwenye 6*6
Sasa chakula umepika vizuri na kitamu halafu unaniacha mezani peke yangu uko kwenye makochi unachati na kujichekea huku ukinitazama kama nakuona,unafikiri hata utamu nauona..!!!hakuna asiependa kula vizuri mkuu