Njia ya kupata moyo wa mwanaume ni kupitia tumbo lake

Sawa mkuu ila kuamka asubuhi kupika machakula mengi magumu jamani? Nitajitahidi ... Niamke nipike magimbi chai mkate mmh haya
ndo maana mwanamke unatakiwa uwe na majiko mengi shogaa. na kupika kwaitaji nafasi
 
Sasa chakula umepika vizuri na kitamu halafu unaniacha mezani peke yangu uko kwenye makochi unachati na kujichekea huku ukinitazama kama nakuona,unafikiri hata utamu nauona..!!!
soma comment ya huyu mdau mkuu kaeleza vizuri inavotakiwa
 
Ila ukumbuke pia hayo uloyataja yanahitaji pesa
Watz tulo wengi hatumudu hzo mambo
 
Naunga mkono hoja napenda sana vyakula kuliko hata mangono(mapenzi)
 
Sawa mkuu ila kuamka asubuhi kupika machakula mengi magumu jamani? Nitajitahidi ... Niamke nipike magimbi chai mkate mmh haya
Mkuu ushaonyesha dalili ya uvivu utaachika shauri yako!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
JAMANIIIII MISS NATAFUTAAAAAA LEO UMENISHIKAAAAA PENYEWEEEEEEE.

YAAAAN NAPENDA MWANAMKE ANANAYEJUA KUPIKA ALAFU AKAWA KITANDAN MJUZI HAHAHAHAHAHA SICHOMOK NG"OOOOOOO.


ASANTE SANA KIBONGE WANGUUUUU.

ON BEHALF YA WANAUME WOTE TUNAOPENDA KULA NYUMBAN NA KULA VILIVYOUNGWA HASAAAAA NAKUPONGEZA MKUUU BANY I LOVE YOUUUUU SOO MUCH ,YOU DRIVE ME VERY KIREIZ .......


SIO UNAKUTA MWANAMKE NDANI KUPIKA NI 000000000000 UTAPATA WAPI NGUVU ZASHOW ?????????????????????

baby , kwa heshima na taadhima ,,, nakualika siku moja uje unipikie chakula kitamuuuuuuu wee utanambia garama zake tuuuu....
 
TUMESIKIAAAA
 
Ila ukumbuke pia hayo uloyataja yanahitaji pesa
Watz tulo wengi hatumudu hzo mambo
unataka kununua kila kitu gengeni lena masokoni huko vitu hadi vinaoza mle bei chee kabisa
 
Mie najua kupika chai na uji. Inatosha.
 
Huwezi pata vyote, anaejua kupika na akajua kukupakua kitandani lbd usubiri nikuzalie,[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mwambie mkeo anialike bna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…