Njia ya kupokea Upendo ni kuutoa kwanza.

Njia ya kupokea Upendo ni kuutoa kwanza.

Mejasoko

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
298
Reaction score
600
Bila kuanza kutoa huwezi kupokea, hii ni Kanuni ya asili ya ulimwengu aliyoweka muumbaji, hata walimu wa theolojia wanatufundisha kwamba upendo wa Mungu upo maximum and constant haupungi Wala hauongezeki.

Hivyo unachotakiwa kuusogelea karibu ili uweze kuufaidi, na huko kuusogelea karibu ndio humaanisha kumpenda Mungu na kadiri unavyompenda ndivyo unavyozidi kuneemeka

Zaburi 91:14-16

Hivyo wapendwa tujitahidi kumuinulia Mungu Ibada kwa uwezo wetu wote tuzidi kuneemeka na kubarikiwa na upendo wake aliye juu zaidi Mungu Mwenyezi.

Niwatakie Noeli Njema.
 
Mwenye Upendo mara zote hawi mhitaji tena, binadamu wengi ni wahitaji kwa sababu hawajajua upendo na kukosa kutumia upendo uliowekwa ndani Yao
Mungu ni chemu chemu ya upendo wote, hana hitaji lolote kutoka kwa Mwanadamu, hapungukiwi kitu Mwanadamu asipomkaribia, ila anampenda Mwanadamu awe kwa mfano wake "Na tumuumbe mtu wa kufanana na sisi"
Upendo ni njia ya ufanisi wa hali ya juu kuleta utoshelevu hii ni Kanuni ya asili kutoka kwa Muumba.
Chukua hiyo...............
Spread love this xmass!
 
Back
Top Bottom